Lavalava ni mzigo kwa WCB haingizi faida yoyote na nyota pia hana

Lavalava ni mzigo kwa WCB haingizi faida yoyote na nyota pia hana

ukimuondoa diamond, rayvany, zuchu, mbosso, harmonize na kiba tanzania hakuna msanii anaemzidi lava lava mauzo kwenye digital platform.

lava lava hawezi kua kama wasanii wengine wa wcb coz katika maisha kuna levels, alipo yeye ndo level yake hivo asilazimishwe kua kama wengine.
[emoji1666]Thread closed
 
Nimewaza tu nje ya box. Hivi tukisema tuache kuwazungumzia ma star si hili jukwaa litafungwa? Na kuwazungumzia sindio kama hivi? 😀
 
Back
Top Bottom