Lavalava usijekurudia hiki kituko

Hahahahahah.... Kibongobongo kweli lazima watoto wa Baba Jesca washangae!!!

Lakini ukweli ni kwamba huko Duniani kwa wenzetu mf. Marekani nimeona video na movie nyingi hazina idadi, wasanii wa kike na wakiume wakipanda na viatu kitandan tena kwa madaha!!

Vinginevyo achana na stress pambana na Hali yako


Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu kijana bora tuchane ameimba jamani.
ametumia kiswhili vizuri
kapangilia maneno
yani ukisikia bora tuachane unasikia ladha ya kitanzania kabisa.

hizi nyimbo Bora tuachane na somo ya kasim mganga.
nikizisikia najiskia niko zangu bagamoyo kwa wahenga.[emoji8][emoji8][emoji8]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ndio kasajiliwa wasafi?totally mediocre
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…