Lavalava wa WCB amejipata kisawasawa

Lavalava wa WCB amejipata kisawasawa

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Lavalava ni msanii mkali ila alikuwa anapokea negative comment kwamba ana gundu, hasapotiwi na Wasafi ila tunaojua mziki tuliona sio kweli eti ana gundu au hasapotiwi kwasababu pamoja na hayo maneno still alikuwa anatoa hit song na kupata shows nyingi.

Shida ya Lavalava ilikuwa ni kutotoa nyimbo nyingi ndani ya mwaka lavala anaweza kuachia ngoma 1 ndani ya mwaka hii ndio ilikuwa inamfelisha mfano diamond anaweza asiachie ngoma nyingi lakini ana showbiz nyingi inayomfanya azungumziwe tofauti na Lavalava ndio maana watu wanamsahau.

Sasa hivi kabadilisha huo utaratibu wake ngoma yake ya Tajiri imehit na tena ametoa wimbo mwingine nao unafanya poa sana akaendelea hivi hivi atateka soko
 
Wewe utakuwa aged hizi sio nyimbo zako waachie vijana
Sio aged wala nini, nina class na knowledge ya good music sio trash ass music mnaopenda nyie. Anyway kuna correlation kubwa sana kati ya IQ na uwezo wa kutambua ala za muziki kama hujui.

Hizo takataka nimejilazimisha ila wapi, hakuna la maana. Sema nyie sababu lugha nyingine zimewapiga chenga hamna namna zaidi ya kukomaa na matakataka hayo. Poor quality of production, wack ass melodies. Wack music for wack people. Uchafu mtupu.
 
Sio aged wala nini, nina class na knowledge ya good music sio trash ass music mnaopenda nyie. Anyway kuna correlation kubwa sana kati ya IQ na uwezo wa kutambua ala za muziki kama hujui. Hizo takataka nimejilazimisha ila wapi, hakuna la maana. Sema nyie sababu lugha nyingine zimewapiga chenga hamna namna zaidi ya kukomaa na matakataka hayo. Poor quality of production, wack ass melodies. Wack music for wack people. Uchafu mtupu.
Ni preference tu mkuu, kuna watu wanapenda muziki wowote uliopo successful kwa mainstream, wengine wanasikiliza genre moja zaidi na wengine hawana mipaka kwenye selections zao, chochote kizuri wanasikiliza..
 
Back
Top Bottom