Lavalava wa WCB amejipata kisawasawa

Lavalava wa WCB amejipata kisawasawa

Sio aged wala nini, nina class na knowledge ya good music sio trash ass music mnaopenda nyie. Anyway kuna correlation kubwa sana kati ya IQ na uwezo wa kutambua ala za muziki kama hujui. Hizo takataka nimejilazimisha ila wapi, hakuna la maana. Sema nyie sababu lugha nyingine zimewapiga chenga hamna namna zaidi ya kukomaa na matakataka hayo. Poor quality of production, wack ass melodies. Wack music for wack people. Uchafu mtupu.
Acha ushamba we mzee wa kijijin rud bushi tuachie mziki wetu watu wa mjini...mnajikuta mna akili sana ambazo hata haziwasaidii kitu.

Ukiona mziki huelewi waachie wanaolewa sio kujiona mjuaji na kupondaponda, aya unaponda sana weka orodha ya kaswida zako unazopendelea wew limbukeni
 
Acha ushamba we mzee wa kijijin rud bushi tuachie mziki wetu watu wa mjini...mnajikuta mna akili sana ambazo hata haziwasaidii kitu.

Ukiona mziki huelewi waachie wanaolewa sio kujiona mjuaji na kupondaponda, aya unaponda sana weka orodha ya kaswida zako unazopendelea wew limbukeni
Yaani uyo jamaa anajikuta mjuaji sanaa hadi kusema kuwa lugha hatuielewi na hiko kineno kimoja cha wack alichokalilishwa

Anajifanya anaijua hiyo lugha kama vile iliundwa na ukoo wao
f^ck him
 
Ni preference tu mkuu, kuna watu wanapenda muziki wowote uliopo successful kwa mainstream, wengine wanasikiliza genre moja zaidi na wengine hawana mipaka kwenye selections zao, chochote kizuri wanasikiliza..
Ni kweli, ila haya mabongo flavor mengi ni matakataka tu. Wanayaelewa kina mwajuma ndala ndefu na sungura tope
 
Acha ushamba we mzee wa kijijin rud bushi tuachie mziki wetu watu wa mjini...mnajikuta mna akili sana ambazo hata haziwasaidii kitu.

Ukiona mziki huelewi waachie wanaolewa sio kujiona mjuaji na kupondaponda, aya unaponda sana weka orodha ya kaswida zako unazopendelea wew limbukeni
Naponda na hakuna kitu utafanya , ndio nina akili, ninawazidi class. Siwezi kusikiliza trash. Eti mjini, mtoto wa mjini aliesoma aliekulia familia stable hawezi, i repeat hawezi elewa hizo takataka , wanajilazimishaga tu maana mambumbumbu mpo wengi. Hakuna namna.
 
Naponda na hakuna kitu utafanya , ndio nina akili, ninawazidi class. Siwezi kusikiliza trash. Eti mjini, mtoto wa mjini aliesoma aliekulia familia stable hawezi, i repeat hawezi elewa hizo takataka , wanajilazimishaga tu maana mambumbumbu mpo wengi. Hakuna namna.
Sikupingi mkuu, ila unasikiliza nyimbo za aina gan? Mainstream ya kibongo wack sana huo ndo ukweli
 
Naponda na hakuna kitu utafanya , ndio nina akili, ninawazidi class. Siwezi kusikiliza trash. Eti mjini, mtoto wa mjini aliesoma aliekulia familia stable hawezi, i repeat hawezi elewa hizo takataka , wanajilazimishaga tu maana mambumbumbu mpo wengi. Hakuna namna.
Kwahiyo mziki wa bongo ni trash? Acha dharau mjomba.
 
Sio dharau ni ukweli. Ni trash. No serious organisation inaweza ku award hizo takataka. Ndio maana ata nje wakienda wanaishia vijiukumbi tudogooo,. Nobody cares about that trash.
Kwahiyo mziki wa bongo ni trash? Acha dharau mjomba.
 
Sikupingi mkuu, ila unasikiliza nyimbo za aina gan? Mainstream ya kibongo wack sana huo ndo ukweli
Nasikiliza nyimbo za aina nyingi, rnb, hip-hop, afro, you name it. except takataka za Bongo fleva sijui diamond, mara lavalava straight trash music. Bora ata kuna muda harmonize ana bahatisha quality na melody. But for the most part TRASH.
 
Sio aged wala nini, nina class na knowledge ya good music sio trash ass music mnaopenda nyie. Anyway kuna correlation kubwa sana kati ya IQ na uwezo wa kutambua ala za muziki kama hujui.

Hizo takataka nimejilazimisha ila wapi, hakuna la maana. Sema nyie sababu lugha nyingine zimewapiga chenga hamna namna zaidi ya kukomaa na matakataka hayo. Poor quality of production, wack ass melodies. Wack music for wack people. Uchafu mtupu.
Bro ni kweli kabisa , nyimbo nyingi za bongo fleva ni takataka hamna kitu ni kelele tu!
 
Yaani uyo jamaa anajikuta mjuaji sanaa hadi kusema kuwa lugha hatuielewi na hiko kineno kimoja cha wack alichokalilishwa

Anajifanya anaijua hiyo lugha kama vile iliundwa na ukoo wao
f^ck him
"Alichokalilishwa" kiswahili chenyewe nacho tatizo. We ndio utajua muziki gani mzuri? F you too. Mtu anayependa hizo nyimbo akapimwe akili. Ni uchafu na utabaki jalalani.
 
Huyu paqwa anajiona Ana akili kumbe popoma tu
Hahaa, we hujui akili kubwa inauwezo wa kuchambua ala za muziki tofauti? Hujui watanzania asilimia kubwa ni vilaza kama nyie ndio maana hamna la maana kwanzia viongozi mpaka nyie raia? Takataka
 
Nasikiliza nyimbo za aina nyingi, rnb, hip-hop, afro, you name it. except takataka za Bongo fleva sijui diamond, mara lavalava straight trash music. Bora ata kuna muda harmonize ana bahatisha quality na melody. But for the most part TRASH.
🤣🤣🤣🤣🤣 unaleta ushabiki hapa kuisagia kunguni kumbe wewe ni team konde boy?? Hapo sasa nimekuelewa 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom