TZINVESTOR
Senior Member
- May 29, 2014
- 106
- 23
Naomba kuuliza swali wakuu.
Nina ndugu yangu yuko Ulaya alienda kusoma alichukua Law degree ya kwanza na ya Masters pia alichukua sheria zaidi ni mambo ya corporate law.
Huko aliko alifamikiwa kupata uraia wa kule lakini sasa japo anafanya kazi kwenye investment bank anataka kurudi kutumia fursa Ilizipo hapa nyumbani.
Sasa je process ni zipi ili apate leseni ili.afanye shughuli za kisheria hapa tanzania?
Pia naomba kujua kama kazi zipo au zimeshachukuliwa na akina Mkono et al?
I will appreciate inputs zenu.
Shukran
Nina ndugu yangu yuko Ulaya alienda kusoma alichukua Law degree ya kwanza na ya Masters pia alichukua sheria zaidi ni mambo ya corporate law.
Huko aliko alifamikiwa kupata uraia wa kule lakini sasa japo anafanya kazi kwenye investment bank anataka kurudi kutumia fursa Ilizipo hapa nyumbani.
Sasa je process ni zipi ili apate leseni ili.afanye shughuli za kisheria hapa tanzania?
Pia naomba kujua kama kazi zipo au zimeshachukuliwa na akina Mkono et al?
I will appreciate inputs zenu.
Shukran