Nashkuru chadema wamekubali na kuliona hili la kukata rufaa..kwa mujibu wa mbowe leo sababu hiyo ya kwanza wameizingatia...
Kutokukata rufaa ni sawa na kubariki maamuzi ya mahakama kwamba ni kweli chadema walitukana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.