The Dude JF-Expert Member Joined Sep 14, 2011 Posts 1,029 Reaction score 459 Apr 7, 2012 Thread starter #21 Nashkuru chadema wamekubali na kuliona hili la kukata rufaa..kwa mujibu wa mbowe leo sababu hiyo ya kwanza wameizingatia... Kutokukata rufaa ni sawa na kubariki maamuzi ya mahakama kwamba ni kweli chadema walitukana
Nashkuru chadema wamekubali na kuliona hili la kukata rufaa..kwa mujibu wa mbowe leo sababu hiyo ya kwanza wameizingatia... Kutokukata rufaa ni sawa na kubariki maamuzi ya mahakama kwamba ni kweli chadema walitukana