Msanii,
DUCE siyo Law School. DUCE= Dar es Salaam University College of Education.
Nimepata taarifa rasmi kutoka kwa source yangu ndani ya LST kampasi ya DUCE kusitishwa kwa masomo pale kampasi ya DUCE kutokana na mgomo ulioanza wiki mbili zilizopita. Taarifa zinasema kwamba chuo kimesitisha masomo mpaka itakapotangazwa vinginevyo na BODI. kama kuna mwenye taarifa zaidi atuwekee hapa....
Ninafuatilia news ili niwaletee taarifa zaidi.
hebu cheki vizuri hapo
umenisoma shekhe?
Msanii,
DUCE siyo Law School. DUCE= Dar es Salaam University College of Education.