Law School -DUCE imefungwa

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Nimepata taarifa rasmi kutoka kwa source yangu ndani ya LST kampasi ya DUCE kusitishwa kwa masomo pale kampasi ya DUCE kutokana na mgomo ulioanza wiki mbili zilizopita. Taarifa zinasema kwamba chuo kimesitisha masomo mpaka itakapotangazwa vinginevyo na BODI. kama kuna mwenye taarifa zaidi atuwekee hapa....

Ninafuatilia news ili niwaletee taarifa zaidi.
 
Msanii,
DUCE siyo Law School. DUCE= Dar es Salaam University College of Education.
 
Msanii,
DUCE siyo Law School. DUCE= Dar es Salaam University College of Education.

hebu cheki vizuri hapo


umenisoma shekhe?
 
OK,
Samahani mimi siyo shekhe bali ni mtumishi wa BWANA YESU.
niwie radhi shekhe.. ops!
ah unajua kiswahili bana matata sana ila nashukuru kukufahamu kiongozi wangu wa kiroho.
Yesu asifiwe sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…