Iwapo Fei Toto amevunja mkataba kihalali na bado jopo la wanasheria tena waliofaulu Law school wanasema ni mchezaji wa Yanga, hii ni dalili mbaya kwa fani ya sheria nchini. Inawezekana hata hao 26 baadhi walibebwa ndio kama hawa wanasheria wa utopolo.
Ipo hata mikataba ya ajira inasema wazi mtumishi akitaka kuvunja mkataba anatoa notice ya mwezi au masaa 24 na mshahara wa mwezi mmoja. Huwezi kulazimisha eti wakubaliane kwanza. Kama ni kukubaliana kwa nini msingeweka pia kipengele cha ku burgain kiasi anachotakiwa kuilipa club iwapo atataka kuvunja mkataba?
Ipo hata mikataba ya ajira inasema wazi mtumishi akitaka kuvunja mkataba anatoa notice ya mwezi au masaa 24 na mshahara wa mwezi mmoja. Huwezi kulazimisha eti wakubaliane kwanza. Kama ni kukubaliana kwa nini msingeweka pia kipengele cha ku burgain kiasi anachotakiwa kuilipa club iwapo atataka kuvunja mkataba?