Law school of Tanzania imekua ya ovyo au imeingiliwa na siasa

Law school of Tanzania imekua ya ovyo au imeingiliwa na siasa

Mayor of kingstown

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
2,898
Reaction score
4,156
Law school of tanzania imeingiliwa na siasa , Nme sikitishwa na sheria mpya walizo pitisha hawa watu

●kwamba mtu alie kaa kazini kwa zaidi ya miaka 10 akiwa kama legal officer au ana LLB basi anaweza kuomba exemption kwa chief justice na kutunukiwa uwakili bila kupita law school, hili hali vijana wengine waki pambana pale law school kusoma wengine waki pambana kuchomoa sup zao na wengine waki disco .

Ilibidi hawa watu na wao wapewe mitiani wafanye kama wengine kuliko kutoa privilege kama hii tena kirahisi hivi .na kuongeza watu kwenye roll ambao hawaja ipambania kama walio pita law school na hadi huu mwaka uishe zaidi ya mawakili 1000+ ambao hawajapita law school watakuwa mjini

●Kwamba mtu asipo weza kufaulu supplementary ndani ya miaka mitatu (3) hata kama ni somo moja basi moja kwa moja unakuwa ume fail ivyo wewe na alie disco mnakua sawa. Hili sipingani nalo kwa jicho la kawaida ila nalipiga kwa jicho la kisiasa.
Hili litafanya wafaurishe watu wengi au wawape sup watu wengi hili kuipandisha tu serikali kwa mda hili hali watu bado wataendelea kushindwa kufikia malengo kama zamani.

Mwisho nme leta hili dukuduku baada kusikia jamaa mmoja apa akitamba na kukejeri hiki chuo na kumshauri mwenzake apambane afike miaka kumi ajichukulie mhuri kirahisi na aepuke kulipa ada ya ml 3.
 
Iyo wizara ina chapa ya nani ? ya kabudi tumuachie kabudi sindio TO wa wanasheria TZ nzima


Lissu ata pingamizi 😅😅😅
 
Pole, wewe pambana na hali yako mkuu, hizo lawama zako haina maana yoyote kwakuwa tangu huo mswada umepitishwa waru walilalamika humu sasa sijui wewe umeibukia wapi as if ni kitu cha leo
 
Law school of tanzania imeingiliwa na siasa , Nme sikitishwa na sheria mpya walizo pitisha hawa watu

●kwamba mtu alie kaa kazini kwa zaidi ya miaka 10 akiwa kama legal officer au ana LLB basi anaweza kuomba exemption kwa chief justice na kutunukiwa uwakili bila kupita law school, hili hali vijana wengine waki pambana pale law school kusoma wengine waki pambana kuchomoa sup zao na wengine waki disco .

Ilibidi hawa watu na wao wapewe mitiani wafanye kama wengine kuliko kutoa privilege kama hii tena kirahisi hivi .na kuongeza watu kwenye roll ambao hawaja ipambania kama walio pita law school na hadi huu mwaka uishe zaidi ya mawakili 1000+ ambao hawajapita law school watakuwa mjini

●Kwamba mtu asipo weza kufaulu supplementary ndani ya miaka mitatu (3) hata kama ni somo moja basi moja kwa moja unakuwa ume fail ivyo wewe na alie disco mnakua sawa. Hili sipingani nalo kwa jicho la kawaida ila nalipiga kwa jicho la kisiasa.
Hili litafanya wafaurishe watu wengi au wawape sup watu wengi hili kuipandisha tu serikali kwa mda hili hali watu bado wataendelea kushindwa kufikia malengo kama zamani.

Mwisho nme leta hili dukuduku baada kusikia jamaa mmoja apa akitamba na kukejeri hiki chuo na kumshauri mwenzake apambane afike miaka kumi ajichukulie mhuri kirahisi na aepuke kulipa ada ya ml 3.
Kinachochekeshaga kuhusu hiyo exemption ya hao public servant waliofanya kazi miaka 10 walikuwa wakienda loskul Wanakula disko au supplementary nyingiii, ss km ishu ni experience kwanini wasiitumie kufaulu loskul?
Kwanini Sheria inakuwa na bias? Au loskul inatoa mitihani ambayo hai reflect wanachofanya kazini(Practice) ndo maana wakifika loskul hatuoni tofauti kati yao na freshers kwenye matokeo?
 
Back
Top Bottom