Law Societies of Kenya (LSK) Vs Tanganyika law Societies(TLS)

Law Societies of Kenya (LSK) Vs Tanganyika law Societies(TLS)

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Unapopata muda pitia pitia page za Law societies of Kenya na Pia Tanganyika Law Societies Utaona utofauti mkubwa sana wa hizi taasisi kwenye kufanya kazi. Taasisi moja ni kama tawi la Chama tawala huku taasisi nyingine ikionekana inasimama na wananchi kwa kila jambo.

Law Societies Of Kenya utaona wako serious sana na mambo ya nchi yao hasa Uonevu wa iana yoyote ile unao fanumya na Serikali yao

Tanganyika Law Societies kwa uoande wao ni kama UVCCM, sijaona hata tamko lao la Binti alie Lawitiwa, Sijaona tamko lao la Kijana alie tekwa na kuvunjwa taya.

TLS ni kama UVCCM au UWT, hii taasisi isha tekwa kama ilivyo vyama kama TUKUTA na Chama cha Walima CWT.

Screenshot_20240708_213111_com.facebook.katana.jpg

Haya ndio yamejaa kwenye page zao.

Kumbuka TLS wamepewa kiwanja na CCM cha kujenga offisi yao, kule Arusha kama sikosei.
FB_IMG_1720464124173.jpg

Hawa ni Law Societies of Kenya wanaungana na waandamanaji na kumbuka pia waliandamana na wao kule mitaa ya Nairobi, Bango kama hili huwesi likuta kwenye page ya TLS. TLS ni UVCCM kamili.
 
Juzi niliona wakenya jinsi wanavyorushiwa maji na hao watu wa sheria wakati mabomu ya machozi yakipigwa. Nikajiuliza ingekua kwetu kwa hawa watu walivyoendekeza uchawa wangeweza kweli?
 
Duh! Sungusia mbona kipindi cha nyuma alikuwa front sana alibadilika lini!
 
Unapo Pata muda pitia pitia page za Law societies of Kenya na Pia Tanganyika Law Societies Utaona utofauti mkubwa sana wa hizi taasisi kwenye kufanya kazi. Taasisi moja ni kama tawi la Chama tawala huku taasisi nyingine ikionekana inasimama na wananchi kwa kila jambo.

Law Societies Of Kenya utaona wako serious sana na mambo ya nchi yao hasa Uonevu wa iana yoyote ile unao fanumya na Serikali yao

Tanganyika Law Societies kwa uoande wao ni kama UVCCM, sijaona hata tamko lao la Binti alie Lawitiwa, Sijaona tamko lao la Kijana alie tekwa na kuvunjwa taya.

TLS ni kama UVCCM au UWT, hii taasisi isha tekwa kama ilivyo vyama kama TUKUTA na Chama cha Walima CWT.
View attachment 3036928
Haya ndio yamejaa kwenye page zao.

Kumbuka TLS wamepewa kiwanja na CCM cha kujenga offisi yao, kule Arusha kama sikosei.
View attachment 3036929
Hawa ni Law Societies of Kenya wanaungana na waandamanaji na kumbuka pia waliandamana na wao kule mitaa ya Nairobi, Bango kama hili huwesi likuta kwenye page ya TLS. TLS ni UVCCM kamili.
Akili zako za kupinga serikali siyo kipimo Cha ufanisi na uhalisi wa taasisi yoyote ile, serikali inalipa walimu, madaktari,Jenga miundombinu mbalimbali kwa ajili ya Wananchi,unaposema TLS haipo kwa ajili ya Wananchi Bali serikali, serikali ipo kwa ajili ya nani!?..unapitisha makalio yako kila siku barabarani,nani alijenga hizo barabara?.. madaktari wanaokutibu uliwasomesha wewe, hospital Ulijenga wewe!?
 
Akili zako za kupinga serikali siyo kipimo Cha ufanisi na uhalisi wa taasisi yoyote ile, serikali inalipa walimu, madaktari,Jenga miundombinu mbalimbali kwa ajili ya Wananchi,unaposema TLS haipo kwa ajili ya Wananchi Bali serikali, serikali ipo kwa ajili ya nani!?..unapitisha makalio yako kila siku barabarani,nani alijenga hizo barabara?.. madaktari wanaokutibu uliwasomesha wewe, hospital Ulijenga wewe!?
Nazani huku sio levoo yako,wahi kwenye jukwaa la mapenzi kule ndio levo yako.
 
Hukumwelewa Jaji Joseph Sinde Warioba juzi?
 
Unapopata muda pitia pitia page za Law societies of Kenya na Pia Tanganyika Law Societies Utaona utofauti mkubwa sana wa hizi taasisi kwenye kufanya kazi. Taasisi moja ni kama tawi la Chama tawala huku taasisi nyingine ikionekana inasimama na wananchi kwa kila jambo.

Law Societies Of Kenya utaona wako serious sana na mambo ya nchi yao hasa Uonevu wa iana yoyote ile unao fanumya na Serikali yao

Tanganyika Law Societies kwa uoande wao ni kama UVCCM, sijaona hata tamko lao la Binti alie Lawitiwa, Sijaona tamko lao la Kijana alie tekwa na kuvunjwa taya.

TLS ni kama UVCCM au UWT, hii taasisi isha tekwa kama ilivyo vyama kama TUKUTA na Chama cha Walima CWT.

View attachment 3036928
Haya ndio yamejaa kwenye page zao.

Kumbuka TLS wamepewa kiwanja na CCM cha kujenga offisi yao, kule Arusha kama sikosei.
View attachment 3036929
Hawa ni Law Societies of Kenya wanaungana na waandamanaji na kumbuka pia waliandamana na wao kule mitaa ya Nairobi, Bango kama hili huwesi likuta kwenye page ya TLS. TLS ni UVCCM kamili.
Wanachama wa TLS tupo, na tunaifanyia TLS amsha amsha, na mfano mzuri ni huu Rais Samia, mgeni rasmi, AGM ya TLS, Wanasheria tumweleze ukweli kuhusu ubatili wa Katiba yetu na sheria zetu, turudishe haki kuu ya Msingi!

Siku TLS walipotoa maoni kuhusu mkataba wa DPW na Bandari zetu, baadhi ya sisi wanachama wa TLS, tuliwapongeza na kuwa task Wito: Hoja za Kisheria za TLS, Prof. Shivji na wengine wote kupinga IGA, zisijibiwe Kisiasa kwa maneno matupu!, zijibiwe Kisheria kwa Vifungu!

Hivyo TLS, tunakwenda taratibu mdogo mdogo, tutafika tuu ila kwenye issues zinazohitaji aggressiveness, sisi Watanzania hatuko aggressive kama jirani zetu Wakenya, huku kwetu Mkuu wetu wa mhimili wa sheria, anateuliwa na Mkuu wa mhimili wa the executive, hivyo unategemea nini?, ni lazima ata pay lip services kwa mamlaka yake ya uteuzi!. Kule Kenya Mkuu wa mhimili wa Mahakama, anaomba kazi, anasailiwa ndipo anakuwa, hivyo anasimama wima kweli kweli kwasababu hana hisani au shukrani ya kulipa kwa yeyote!.

P
 
Unapopata muda pitia pitia page za Law societies of Kenya na Pia Tanganyika Law Societies Utaona utofauti mkubwa sana wa hizi taasisi kwenye kufanya kazi. Taasisi moja ni kama tawi la Chama tawala huku taasisi nyingine ikionekana inasimama na wananchi kwa kila jambo.

Law Societies Of Kenya utaona wako serious sana na mambo ya nchi yao hasa Uonevu wa iana yoyote ile unao fanumya na Serikali yao

Tanganyika Law Societies kwa uoande wao ni kama UVCCM, sijaona hata tamko lao la Binti alie Lawitiwa, Sijaona tamko lao la Kijana alie tekwa na kuvunjwa taya.

TLS ni kama UVCCM au UWT, hii taasisi isha tekwa kama ilivyo vyama kama TUKUTA na Chama cha Walima CWT.


Haya ndio yamejaa kwenye page zao.

Kumbuka TLS wamepewa kiwanja na CCM cha kujenga offisi yao, kule Arusha kama sikosei.

Hawa ni Law Societies of Kenya wanaungana na waandamanaji na kumbuka pia waliandamana na wao kule mitaa ya Nairobi, Bango kama hili huwesi likuta kwenye page ya TLS. TLS ni UVCCM kamili.
+Kenya zipo ngapi na Tanzania zipo ngapi?
 
Back
Top Bottom