sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Kauli ya Mkuu wa nchi ya kwamba kazi ya Uraisi ni ngumu inaturudisha enzi za mwendazake maana na yeye alikuwa akitamka mara kwa mara kauli hii.
RAIS Samia ameweka wazi ya kuwa pamoja na ugumu anaokutana nao, yeye kama yeye anashukuru ya kuwa anapata msaada kutoka kwa idara na taasisi mbalimbali zilizomo Ikulu maana zinamsaidia.
Kauli hii ya Rais inaaamanisha kuwa maamuzi mengi mfano kusema kuwa tumpe muda akuze uchumi tutoke tulipo twende pengine ndo aruhusu mjadara wa katiba mpya ni ushauri wa watu wa Ikulu.
Ushauri wa kuvunja Katiba kama walivyokuwa wanafanya yeye na mwendazake wawili tu leo anaufanya yeye na watu wa ikulu mfano kusema mikutano ya siasa isubiri ajenge uchumi,ni mwendelezo wa uvunjaji wa sheria za nchi.
Mifani iko mingi kama uteuzi wa ovyo na mengine sasa lawama na laana ziende Ikulu.
RAIS Samia ameweka wazi ya kuwa pamoja na ugumu anaokutana nao, yeye kama yeye anashukuru ya kuwa anapata msaada kutoka kwa idara na taasisi mbalimbali zilizomo Ikulu maana zinamsaidia.
Kauli hii ya Rais inaaamanisha kuwa maamuzi mengi mfano kusema kuwa tumpe muda akuze uchumi tutoke tulipo twende pengine ndo aruhusu mjadara wa katiba mpya ni ushauri wa watu wa Ikulu.
Ushauri wa kuvunja Katiba kama walivyokuwa wanafanya yeye na mwendazake wawili tu leo anaufanya yeye na watu wa ikulu mfano kusema mikutano ya siasa isubiri ajenge uchumi,ni mwendelezo wa uvunjaji wa sheria za nchi.
Mifani iko mingi kama uteuzi wa ovyo na mengine sasa lawama na laana ziende Ikulu.