Lawrence Mafuru aliewahi kuwa MD wa NBC Bank na Msajili wa Hazina ateuliwa kuwa Kamishina wa Sera Wizara ya Fedha

Acha zako P. Kwani akina Mafuru (sio zile samaki zenu za kubanika kanda ya ziwa) wana makaratasi yasiyo vyeti? Hao wenye vyeti wenyewe wanapewa wapi nafasi kupractise ili wawe competent na.wawe hazina ya nchi baadae...matokeo yake hawapewi nafasi zinafichwa wanapigwa vita na nafasi wanazungushiana wao kwa wao ndani kwa ndani kimtandao na kujuana vizazi na vilinge.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
ufisadi upiii, sema alimshauri jiwe kupitia clouds tv masuala ya sera za uwekezaji na mitaji kipindi jiwe anafrustrutisha wawekezaji jiwe akamfurusha, brain kama kina mafuru ni mali ya rais ana haki ya kuwatumia pale wanapohitajika, nchi ina watu wengi lkn wataalam wabobezi ni wachache, si kila post unachukua kila mtu, watu kama kina mafuru unawachukue waweze kunoa au kuandaa wengine watakaokuja, siyo mafuru tu, maserikalini watu wngi wanastaafu na wanaongezewa mikataba ya kuendelea kuhudumu kwa sababu ya taalumana ubobevu wao,cha muhimu acha makasiliko watakie watu heri, ridhki zao haziwez kukwamisha ridhki yako wewe!!
 
Mzee Mwinyi Amekua Rais wa Zanzibar kisha Tanzania na sasa anamshuhudia mwanae akiwa Rais wa Zanzibar hata mimi Mwalubadu Mang'ombe alikua fundi muashi na leo hii anamshuhudia mwanae akiwa fundi muashi.

Wivu humuua mtu mjinga kijana.
 
You mean PST!!!? Time will tell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…