Lawrence Masha na Miriam - Kashfa


Kaka maswala mengine haina haja ya kujiingiza. Hili la Masha unalijua kabisa na hata hali yake kindoa unaitambua na nini sababu na hata athari za hali hyo unazijua. Sasa ukiwa kama mtanzania unaoumizwa na uozo wa viongozi wetu na kama rafiki wa karibu wa Masha ni bora ukajinyamazia ukainua simu na kumwambia kwa upole tu....Kaka hii sio jitahidi kubadilika.....lakini sio kujaribu kuhalalisha uozo huu wa kimaadili ambao unajua wazi hasara zake kitaifa na kifamilia pia.

Kumbuka tukiwa kama vijana tunapaswa kusimamia Tanzania tuitakayo na sio hii tunayorithishwa na wazee wetu iliyojaa uozo kiasi hiki ambapo tunalzimika kujidanya kuwa uozo wa kimaadili wa viongozi wetu hauna uhusiano na uozo wa kiuongozi kwa taifa letu.

Uongozi bila ya uthabiti wa maadili binafsi sio uongozi bora tunaopigia kelele hapa kila kukicha.....

Onyesha urafiki wa kweli kwa Masha kwa kumwambia wazi kuwa anaharibu kwake binafsi, kwa familia yake lakini zaidi kwa ndoto za watanzania walio wengi walizonazo juu ya viongozi wa kizazi kipya kama yeye.

Bila ya kushughulikia ufisadi wa kimaadili kamwe hatuwezi kushughulikia ufisadi wa kiutendaji, kifalsafa na zaidi ufisadi wa kiuchumi....

Kama kiongozi anaweza kutoithamini familia yake na kama anaweza kumsaliti anayelala naye kitanda kimoja hivi unategemea nini kwa mamilioni ya watanzania anaowapita huku kajifungia ndani ya AC ya gari la mamilioni? Kama anaweza kusaliti kiapo chake cha kuheshimu ndoa yake kwa mungu anayemwamini tangia utotoni mwake hivi atashindwa vipi kusaliti kiapo alicohotoa mbele ya Rais asiye na imani naye, Spika asiyekubaliana naye ama hata mamilioni ya watanzania asio wajua?

Tanzanianjema
 
bwana mdogo tangu mchonga hadi mugwana wana mabibi wa nje hiyo ni sera ya serikali yako nyerere alikuwa mtu wa mabibi tu,unasikia na misifa kemukemu mnamwaga

Hilo halina maana kuwa ufuska sio tatizo kwa taifa letu......ni tatizo kubwa mno na kama mtu ana interest na public office ni muhimu kulitambua hilo na kulifanyia kazi ili kupunguza uozo tulionao sasa.....

Tanzanianjema
 
haya mabo huwa hayana nafasi kwenye nchi zetu kila mtu ana boriti lake kwa hiyo tuachane an kibanzi cha masha.

Anapokuwa kiongozi wa kijamii ama kisiasa hicho hakiwi tena kibanzi chake pekee bali cha jamii nzima. Hata kama tunavijiboriti vyetu, kushindwa kujitoa hakuna maana tuhalalishe uozo wa kimaadili. Kama ulivyo uozo mwingine, Ufuska (zaidi wa viongozi wetu)ni tatizo kwa nchi yetu na hatupaswi kuendelea kurasimisha uozo huu.

Kitaendelea kuwa kibanzi chake pale tu atakapojivua jukumu la kuwaongoza watanzania katika kuelekea kwenye Tanzania tunayoitamani na sio kutupeleka pabaya zaidi ambako wazee wetu ambao wengi walifanya makosa kama yake wametufikisha....

Tanzanianjema
 
Watu bwana, hakika tunafikira zilizo tofautiana mno.
wengine ati tunamsema Masha, ilhali nasi tumo pamoja naye, wengine tunamtetea utafikiri ayafanyayo ni sahihi
Yangu macho.......
 
tanzania njema, sidhani kwasababu jina lako liko hivo nikuwa tanzania ndo ilivyo njema, kashfa ni kashfa, hao ndo viongozi waliosema kuwa vitu kama bay watch night visionyeshwe kwenye tv wakati wao wanaongoza kwa tabia zilizooza(sorry to say that) it is the truth. na maadili ni maadili tu, mda upi wanaoupata kushinda na hao vimada,familia, ndugu, marafiki, unajua wanapata wapi mda wa kuudumia taifa, au ukiwa kiongozi unapata 35 hours a day unlike us who get 24 hours a day? au hawalali? mh? utu uzima ungekua uungwana(kama the late jkn) tungekua mbali sana nchi yet, au kwa vile we nitajiri? je unajali maskini, je unajali familia za hao wasichana ambao watpewa tu magari na magonjwa juu, je tuna solve tatizo? ulikuepo wakati mke wake na huyo mheshimiwa( hivi nani anawaita waheshimiwa?) walivokubaliana juu ya open relationship...je aliwa include watoto kwenye hilo jambo? haujui watoto are the most affected ones? it all comes to being selfish, kutoridhika kunaleta ufisadi- they are simple psychology which relate to each other....
 
hahahaha pesa zilikuwa za kumwaga, ufisadi mtupu, ataacha kuwa malaya?
 
Bishanga, inaonekana ushauri wako haukuzaa matunda kwa wahusika hawa wawili, haswa huyo wa kwanza!
 
Last edited by a moderator:
Ngeleja hakua ametulia, wewe humjui tu.... kama kipimo ni rose garden sawa, lakini kama ni kupora wake then huyo uliemtaja yuko juu ya lau:alien:
 
Bora hilo la kupanda juu ya MEZA Mwanza akiwa amechemka na Bia alitukanana na wapiga kura wake na kutoa Bastora akiwa King cassino na kutishia kumpiga mtu, sasa hii ndiyo nini kwa waziri kama yeye

ndo maana. . .
 

kumbeee?
 
Mnaongelea uchakachuzi wa ndoa? Habari ya sabato?

uchakachuzi wa ndoa+kutukana wapiga kura = kugaragazwa kwenye uchaguzi ambayo inapelekea kurudi kwa mke mikono nyuma, kichwa chini........

Uwe na sabato njema pia......
 
This's the kind of jamii forums I was introduced to....THE REAL GREAT THINKING, SMART ANALYSIS, USABLE TOPIC, GREAT,SMART THREADS... na siyo hii ya siku hizi. I MISS THE OLD JF!, ahhhhhhhhhhhhh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…