Mwambieni ajaribu kusomea udaktari kwanza, alafu aje kutoa kauli tenaKabudi has said "lawyers are the most learned" because they don't define terms but they enterprete them. Is this true guys?
It OK issue Kama lawyer ni most learned akae viwanja vya kupima akikaaa uswahilini ambako vyoo hutapishwa kwa kuwa gari ya kunyonya choo haiingii watapishaji wakimsusa atajijua Kama hajahama mtaa na usomi wake na kukubali kuwa kuna learned brothers wengine ambao ni watapisha vyooKabudi has said "lawyers are the most learned" because they don't define terms but they enterprete them. Is this true guys?
Tunamkaribisha pia kwenye engineering and science disciplines.Mwambieni ajaribu kusomea udaktari kwanza, alafu aje kutoa kauli tena
Hakuna kozi rahisi kama hiyo sijui sheria sijui upupu gani huo...Kabudi has said "lawyers are the most learned" because they don't define terms but they enterprete them. Is this true guys?
Hakuwa anamaanisha kwamba ni kozi ngumu kuliko zingine.Coz rahisi ni sheria ikifuatiwa na Procurement bongo tunaona ngumu sababu ya lugha.
Fani pekee ambayo mtu kaua na inajulikana hivyo ila wao wanamtetea!!Kabudi has said "lawyers are the most learned" because they don't define terms but they enterprete them. Is this true guys?
Umewajibu vizuri sana mkuu.Hakuwa anamaanisha kwamba ni kozi ngumu kuliko zingine.
Mkuu elimu uliyonayo ni yako??? Au ni zao la UDOM..?? kazi zote hutegemeana.. ina maana lawyer akiumwa anajitibu kwa kutumia katiba?? Na je akitaka bajeti anatumia katiba?? Umeandika upupu tupu...Ithink ts becoz it's a multidiscplinary course' yaan lawyers are the Master's ov environment... Uwe doctor, engineer, muhasibu lkn kimfumo lazma utamuhitaj mwanasheria ktk kazi zako tu, ukifukuzwa kazin na engineer wako yy ndo kimbilio...... So nadhani ndo course inayochukua sehemu kubwa ya mazingira.. Maana wote tunaishi chini ya mujibu wa sheria mbalimbali, na watafiri na watetezi ni wao..... Wanamamlaka ya kuapisha, kuhukumu na kutetea
Huyo kakukasirisha nini mkuu?Anajaribu kujenga hoja ya ni kwa nini wanasheria wanaitana learned brothers & sisters kote duniani?? Tupe sababu mbadala kwa sabbu ndivyo ilivyo.Mkuu elimu uliyonayo ni yako??? Au ni zao la UDOM..?? kazi zote hutegemeana.. ina maana lawyer akiumwa anajitibu kwa kutumia katiba?? Na je akitaka bajeti anatumia katiba?? Umeandika upupu tupu...
Siku daktari akiharibu atapelekwa kwa judge na judge, baada ya kusikiliza kesi, atamweleza daktari namna alivyotakiwa kufanya ili asikosee kisha atamhukumu, google "Medical Negligence". Rubani, mwalimu, injinia n.k kadhalika nao watapelekwa kwa judge. Ila mwanasheria hawezi kupelekwa kwa hawa wote maana hawamwezi. "Law is a noble professional of all ever"Mwambieni ajaribu kusomea udaktari kwanza, alafu aje kutoa kauli tena