Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu aendelea kuimalizia CCM Singida

Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu aendelea kuimalizia CCM Singida

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
So much love out there. - MunguIbarikiTanzania ( 640 X 640 ).jpg


Mh Lazaro Nyalandu leo tena ameendelea kuomba ridhaa ya wananchi wa Singida Kaskazini ili wampe kura zao ili awe mwakilishi wao bungeni .

Leo alikuwa Kijiji cha Matumbo , kata ya Makuro , eneo hili ni kama ccm haina mgombea ubunge baada ya ya mgombea wake aitwaye Ramadhan Ighondu kuogopwa na wapiga kura kutokana na kugubikwa na kashfa ya Utekaji , ametajwa mara kadhaa kuhusika kumteka Dr Ulimboka aliyekuwa kiongozi wa Madaktari wa Tanzania , hakuwahi kukanusha
 
Weekend hii tumefanya kampeni ya nyumba kwa nyumba kwa ajili ya udiwani ,ubunge na urais hapa kijijini kwetu ,wananchi wametuelewa sana na wana hasira na CCM wanaona kama siku ya kura haifiki.

Mwaka huu labda wafute uchaguzi hawatoki
Safi sana !
 
View attachment 1581955

Mh Lazaro Nyalandu leo tena ameendelea kuomba ridhaa ya wananchi wa Singida Kaskazini ili wampe kura zao ili awe mwakilishi wao bungeni .

Leo alikuwa Kijiji cha Matumbo , kata ya Makuro , eneo hili ni kama ccm haina mgombea ubunge baada ya ya mgombea wake aitwaye Ramadhan Ighondu kuogopwa na wapiga kura kutokana na kugubikwa na kashfa ya Utekaji , ametajwa mara kadhaa kuhusika kumteka Dr Ulimboka aliyekuwa kiongozi wa Madaktari wa Tanzania , hakuwahi kukanusha
Hanyahe Mbuyaane!
Futilia mbali ccm Singida.
 
View attachment 1581955

Mh Lazaro Nyalandu leo tena ameendelea kuomba ridhaa ya wananchi wa Singida Kaskazini ili wampe kura zao ili awe mwakilishi wao bungeni .

Leo alikuwa Kijiji cha Matumbo , kata ya Makuro , eneo hili ni kama ccm haina mgombea ubunge baada ya ya mgombea wake aitwaye Ramadhan Ighondu kuogopwa na wapiga kura kutokana na kugubikwa na kashfa ya Utekaji , ametajwa mara kadhaa kuhusika kumteka Dr Ulimboka aliyekuwa kiongozi wa Madaktari wa Tanzania , hakuwahi kukanusha
Go go go Lazarus nyalandu.
 
Weekend hii tumefanya kampeni ya nyumba kwa nyumba kwa ajili ya udiwani ,ubunge na urais hapa kijijini kwetu ,wananchi wametuelewa sana na wana hasira na CCM wanaona kama siku ya kura haifiki.

Mwaka huu labda wafute uchaguzi hawatoki
Good job. Well done.
 
😂😂😂 Tukutane Octorber 28
Haka kaneno kameshika kasi. Sio tena mandege, mafly over, mauchumi wa kati??? Ccm kimewatokea nini?? Ni hali ta kukata tamaa.

Akirudi jpm na yeye kwenye kampeni ataishia kusema.
hivyo hivyo subiri october 28😂😂
 
Huyu Nyarandu kauza twiga wetu nje ya nchi.anakesi za kujibu muda ukifika.
 
Weekend hii tumefanya kampeni ya nyumba kwa nyumba kwa ajili ya udiwani ,ubunge na urais hapa kijijini kwetu ,wananchi wametuelewa sana na wana hasira na CCM wanaona kama siku ya kura haifiki.

Mwaka huu labda wafute uchaguzi hawatoki
Barikiwa mkuu wewe na kizazi chako kwa jitihada zako za kusaidia jambo hili muhimu la ukombozi wa nchi yetu.
 
View attachment 1581955

Mh Lazaro Nyalandu leo tena ameendelea kuomba ridhaa ya wananchi wa Singida Kaskazini ili wampe kura zao ili awe mwakilishi wao bungeni .

Leo alikuwa Kijiji cha Matumbo , kata ya Makuro , eneo hili ni kama ccm haina mgombea ubunge baada ya ya mgombea wake aitwaye Ramadhan Ighondu kuogopwa na wapiga kura kutokana na kugubikwa na kashfa ya Utekaji , ametajwa mara kadhaa kuhusika kumteka Dr Ulimboka aliyekuwa kiongozi wa Madaktari wa Tanzania , hakuwahi kukanusha
Ccm imewadharau Sana wananchi wa singida.. imekosa watu hadi kuamua kumsimamisha mwanachama wa "wasiojulikana", mtekaji RAMADHANI IGHONDU??!!!
 
Ccm inapumua kwa nguvu ya dola but this time wamelikoroga hio dola 5 yrs awajawaongezea mishahara watajibeba watashangaa watakavyo geukwa
 
View attachment 1581955

Mh Lazaro Nyalandu leo tena ameendelea kuomba ridhaa ya wananchi wa Singida Kaskazini ili wampe kura zao ili awe mwakilishi wao bungeni .

Leo alikuwa Kijiji cha Matumbo , kata ya Makuro , eneo hili ni kama ccm haina mgombea ubunge baada ya ya mgombea wake aitwaye Ramadhan Ighondu kuogopwa na wapiga kura kutokana na kugubikwa na kashfa ya Utekaji , ametajwa mara kadhaa kuhusika kumteka Dr Ulimboka aliyekuwa kiongozi wa Madaktari wa Tanzania , hakuwahi kukanusha
Akishinda unikumbushe nikupongeze pia nimpongeze na yeye.
 
Huyu Nyarandu kauza twiga wetu nje ya nchi.anakesi za kujibu muda ukifika.
Amemuuzia nani?serikali iko wapi isimkamate?
Mgombea wenu wa ccm ni kituko,hana anachokijua,ana stress damu za raia wema aliowashughulikia zinamlilia,anaona maruerue.
Nyalandu njia nyeupee.
 
Back
Top Bottom