Mh.Lazaro Nyalandu
Kwa wale wapika majungu mliokua mkitumiwa kueneza uzushi humu ndani eti kwamba mheshimiwa LAZARO NYALANDU hatakiwi kukanyaga marekani sikilizeni hii latest toka kwangu na muache uzandiki kuanzia leo nasisitiza mheshimiwa so far ni miongoni mwa mawaziri wa jk ambae hana kashfa labda mumtafutie nyingine.
Kwa taarifa za "kiintelijensia" zilizofika mezani kwangu toka kwenye "corridor za uwt" mheshimiwa NYALANDU kwa sasa yuko Addis Ababa akiiwakilisha nchi for AU Conference,and he is schedulled to be in Washington DC on wednesday next week for two days breakfast meeting with the leadership there!
Habari ndio hiyo,mwenye kununa anune mwenye kucheka acheke lakini kimeeleweka!..........Invisible na wenzako salam zenu hizi,ha ha haaa.......sasa tuone jinsi atakavyokamatwa airport ndani ya us akajibu yale "mashtaka yako" ya kubaka!
Kumbe hujui unalo ongea . Mheshimiwa Nyalandu mbona alisha samehewa zamani sana na wamarekani. Huyu alikimbia USA kipindi kile amekuja Tanzania kugombea ubunge , wakati alipo haribu huko US kwa kosa la kizalendo zaidi, nalo ni kusaidia wa vijana wa ki Tanzania kuingia USA na kuweza kubadili maisha yao.
Kifupi kosa alilofanya kwangu naona kama ni ukombozi kwa vijana wa kitanzania waliokua na hammu ya kutafuta maisha bora Ugenini
Alipo kua Usa alikua na uhusiano. Mzuri sana na wanasiasa, na kuweza aminika nao n kiasi cha kuweza kuunganishia wanafunzi wa kitanzania kupata chuo USA na kuja na kupotelea humo ,kwa malipo fulani,jambo ambalo sioni kama lina ubaya wowote, kwani ni njia moja wapo kukomboa kijana kiuchumi na wengi walio letwa na Nyalandu mbaka sasa wako USA na wana maisha mazuri na kusaidia kwao TZ
Tatizo lilianza pale ambapo habari zake sa biashara hizo zilipo vuja na FBI kuanza kumfuatilia,bila kutambua hilo , aka kuza biashara hiyo na kuingia hadi kwa wateja wa nchi nyingine za kiafrica na kuchukua pesa zao ili awasaidie kuingia USA.
Kwakua alikua chini ya uangalizi na kisha chukua pesa na kuja TZ kushughulikia mipango , dili likaharibika ,baada ya kugundua yuko wanted. Hakua na jinsi zaidi ya kuendeleza mipango yake mingine ambayo ni kugombea ubunge naakashinda.
Ilijulikana vipi kwamba Nyandu yuko wanted? ni pale mdogo wake ambaye naye aliletwa USA kwa njia hiyo hiyo , kukamatwa na police kwa kosa la kugushi social security number ili apate driving liesence, alipo hojiwa na kuambiwa kaka yake anatafutwa na police na aeleze kajificha wapi, ikumbukwe kipindi hicho idara za usalama Za usa zilikua hazibadilishani data , kwa hiyo ploce hawakujua kama Nyalandu amesha ondoka Usa muda mrefu sana.Huyo mdogo wake alirudishwa Tz baada ya kukaa jela muda na wote walio kamatwa kwenye nyumba walio kua wanaishi wengine nao wamerudishwa na wengine wali bahatika kubaki
Nyalandu baada yakupata ubunge inaonekana serikali ya usa ilimsamehe au kusahau maana alikua anaalikwa kila mwaka kwenye kongamano la masenetors lililokua linafanyika Washington.DC na kuhudhuriwa na yeye.amekua akienda USA mara kwa mara bila tatizo lolote kabla hata hajaukwaa uwaziri .
Nyalandu kwangu ni a hero kasaidia na kubadilisha maisha ya vijana wengi tena wengi ni wale walio kuna toka fammilia duni wasio na uwezo wa wazazi kulipia ada kwa shule za USA , hivi leo wengi wana maisha bora uklinganisha. Kama wangekua bado waki Tanzania. Ndio njia ilikua sio halali ila dunia ya leo hao wamarekani wana ya halali mangapi yanayo yafanya kulinda na kuwapa maisha bora raia zao?
Big up to my hero Nyalandu, Salehe Londa na Mwassy Marijani mmesaidia kwa namna fulani vijana wengi kuwakomboa
.