Lazaro Nyalandu: Tanzania inahitaji Katiba mpya ili mihimili ya utawala iwe na mipaka iliyo wazi

Lazaro Nyalandu: Tanzania inahitaji Katiba mpya ili mihimili ya utawala iwe na mipaka iliyo wazi

Mukimfukuza bwana wenu na mkimuacha mnamuogopa.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kuna mstari mmoja ambao tukiweza kuuvuka wa Tz tutapiga hatua kubwa kimaendeleo. Kama anavyosema JPM uvyama vyama! Amini nawaambia adui mkubwa wa amani,utulivu na hata maendeleo nchini kwetu si udini wala ukabila. Adui ni vyama vyetu vya siasa vilivyotufunga akili zetu kwenye box.

Kwamba mtu kama si wa chama chako, lolote alisemalo au atakalotenda hata kama ni kwa maslahi mapana ya nchi ni rubbish! Damu za watu zimemwagwa na zitaendelea kumwagika sio kwa udini wala ukabila ila sababu ya uvyama

Natamani mheshimiwa Rais anapolikemea suala hilo aende mbali zaidi, avunje huu unyanyepa wa kivyama kwa vitendo na kwa dhati kabisa maana yeye anayo nafasi ya kipekee kuanzisha hilo

sasa kwanini cham kimoja kinakamatwa kamatwa basi?
 
Hii ni Suprise kwa watakao enda kinyume na matakwa ya baba mwenye nyumba....
Nissan-Petrol-Super-Safari-2017-White-Gray-01.jpg


953.jpg
 
Alipokuwa kwenye "system" hakuuona umuhimu huu ila sasa kwa kuwa yuko nje ndo anauona!
...heri shetani ALIYEBADILIKA kuwa Malaika, kuliko Malaika aliyebadilika kuwa shetani-Paskali wa JF.
 
ccm wakimfukuza watakuwa wamemwonea na wakimwacha watakuwa wamemwogopa!
 
  • Thanks
Reactions: mwl
tanzania tunataka katiba mpya tukisha ipigania hichi kitu lazima tuwe na taifa lenye misingi bora zaid baraani afrika na dunia Kwa ujumla...tanzania ni nchi iliyoshikwa na watu wachache ambao ni matajiri wachache...........tupiganiee katiba mpya ili kuondoa vitu vinavyomlinda rais tumechoka sana
 
kichwa mbona hakiba naudhui ndani yake?

au unemmiss bape?
 
Mi naona tuendelee na Ratiba yetu hii hii, naona hakuna mapungufu. Wa nakumbuka shuka walisha sikia majogoo yanawika... Hawa si walikuwa wanachakachua ile ya warioba !! Sasa yamewa kwama , wanakumbuka.... [emoji102]
Huwa hakuna kawaida ya kuongea wakati wa kula, kuna wanaccm wanakuwa hawakubaliani na yafanywayo lakini maamuzi ya wengi yanawaponza.
 
Watu wa singida wamekuwa chachu ya mabadiliko Tanzania, hongera Lissu & nyalandu ya kuthubutu ktk utawala huu. Nikiwa rais wa Tanzania makao makuu yatahamia singida toka Dom
Hahahah!! Chachu ya mabadiliko iko karibu mikoa yote.
 
Hakuna anayepinga uwepo wa katiba mpya, ila je vipaumbele vyetu kama taifa kwa sasa ni vipi?? Je ni demokrasia au ni ufaidikaji na rasirimali zetu?

In short katiba mpya kwa sasa siyo agenda ya taifa, maana hata ukiwa na katiba mpya kwa jinsi baadhi ya viongozi wa upinzani (akiwemo na yeye huyu mnafiki nyalandu) uelewa wao wa mambo ni mdogo sana tena sana, na wanaendeshwa na matumbo yao, yaani kama kuna kitu kinashibisha tumbo lake basi atalalia huko huko, ila kama kuna kitu kinasababisha njaa tumbo lake basi atakipinga kweli kweli.

Viongozi wetu wa upinzani hawajitambui kabisa, yaani uelewa wao unaendeshwa na ubinafsi na siyo maslahi mapana ya taifa. Wanataka vile wanavyovitaka wao na siyo inavyovitaka Tanzania, na ndiyo maana kwa kizazi chetu kamwe tusitegemee upinzani kushinda uchaguzi wa rais au kuongoza serikali, maana akili zao zinawaza matumbo na ubinafsi.

Yaani mpaka wachungaji akina Mh. Msigwa hela imewatawala na siyo Tanzania. Wapinzani wetu (including Nyalandu) wapo tayari kushirikiana na mataifa maadui zetu ili kufanikisha ajenda zao. Mungu alisha walaani wapinzani wa Tanzania, na laana hiyo ikae juu yao kwa usaliti na uzandiki. Mungu Mbariki sana tena sana Dkt Magufuli na CCM yetu.
Kada, tukubali kuwa Katiba Mpya ndio muarobaini wetu kwa sasa kama nchi.
 
Wakati mchakato ulipo pelekwa bungeni huyu mkuu alikuwa Waziri, wakaikoroga wanavyo taka wao. Sasa katiba imembana anataka kutuaminisha kivingine... Hii ni kujifunza kutokana na makosa
Alikuwa anakula, huwa hakuna kawaida ya kuongea wakati unakula.
 
Hakuna anayepinga uwepo wa katiba mpya, ila je vipaumbele vyetu kama taifa kwa sasa ni vipi?? Je ni demokrasia au ni ufaidikaji na rasirimali zetu?

In short katiba mpya kwa sasa siyo agenda ya taifa, maana hata ukiwa na katiba mpya kwa jinsi baadhi ya viongozi wa upinzani (akiwemo na yeye huyu mnafiki nyalandu) uelewa wao wa mambo ni mdogo sana tena sana, na wanaendeshwa na matumbo yao, yaani kama kuna kitu kinashibisha tumbo lake basi atalalia huko huko, ila kama kuna kitu kinasababisha njaa tumbo lake basi atakipinga kweli kweli.

Viongozi wetu wa upinzani hawajitambui kabisa, yaani uelewa wao unaendeshwa na ubinafsi na siyo maslahi mapana ya taifa. Wanataka vile wanavyovitaka wao na siyo inavyovitaka Tanzania, na ndiyo maana kwa kizazi chetu kamwe tusitegemee upinzani kushinda uchaguzi wa rais au kuongoza serikali, maana akili zao zinawaza matumbo na ubinafsi.

Yaani mpaka wachungaji akina Mh. Msigwa hela imewatawala na siyo Tanzania. Wapinzani wetu (including Nyalandu) wapo tayari kushirikiana na mataifa maadui zetu ili kufanikisha ajenda zao. Mungu alisha walaani wapinzani wa Tanzania, na laana hiyo ikae juu yao kwa usaliti na uzandiki. Mungu Mbariki sana tena sana Dkt Magufuli na CCM yetu.


Ndugu Mudawote;
Katiba inayokubalika ndo itayoweza kuweka usimamizi sustainable wa rasilimali zetu. Hebu tafakari vizuri juu ya maana ya Katiba.
 
Kwa mtu aliyeenda shule kwenye huo ujumbe wa Nyalandu anapata maana zifuatazo:
1. Tanzania haina katiba inayokidhi mahitaji ya watu na nchi
2. Mihimili ya dola inaingiliana kazi
3. Mipaka ya mhimili mmoja na mwingine haipo wazi
4. Hakuna kuheshimiana kimadaraka na kikazi kati ya mihimili ya dola
5. Hakuna checks and balance kwa mihimili ya dola Tanzania
6. Nchi inaongozwa kiholela kwa mihimili ya dola kutokuwa na mipaka iliyowazi
7. TZ haina dira inayoeleweka kiutawala kwa kukosa katiba bora
 
Back
Top Bottom