Lazarous Kambole na Musonda waitwa timu ya Taifa Zambia huku Phiri akiachwa

babu onyango

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
378
Reaction score
984
Huyu kambole alidhihakiwa sana hasa na ndugu zetu wa Simba wakiongozwa na wachambuzi uchwara km Jemedari Said..
Wakaenda mbali zaidi paka kumuita msukule..
Sasa Leo hii ndio mshambuliaji tegemeo wa timu ya taifa ya Zambia akishirikiana na Mshambuliaji Kennedy Musonda kuunda safu ya mbele ya Chipolopolo.

Ikumbukwe Zambia inafundishwa na Avram Grant kocha wa zamani wa Chelsea aliyeifikisha fainali ya UEFA champions league 2007-2008..

Kwa maana nyingine Kambole ni Mshambuliaji Bora zaidi ya Moses phiri..
Povu ruksaa
 
Huwezi ukawa kibonde then alafu leo ukawa kinara and vice versa ?

(Technically Speaking)... and Form being Temporary and Class Permanent.
 
Yaani washambuliaji wote wa kimataifa wa Yanga wameitwa national team zao (Mayele+Musonda+Kambole) wakati wale wengine (phiri+baleke+Sawadogo) wapo bunju wakijifuana na Nbc.. kweli Yanga ni lidude likubwaaa sana
 
Ssa wawili tuu Simba ina wachezaji 4 ndani ya timu moyaa...
Kwanza Phiri alikua majeruhi muda mrf..bado hajawa fiti..
 
yule MLEVI hajaitwa !!
 
Bado ni faida kwa Simba,anabaki na mashine zake zote kwaajili ya kuipigania nchi kimataifa caf na super league💪
 
Simba walihusikaje na Kambole mbona Utopolo ndiyo walimsajili kisha wakamtema na kumfungia ndani kama msukule?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…