kishaija
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,049
- 1,198
Nahis utakuwa na figa ya maana otherwise usingekuw unapenda kufanya ivoSijajua kwa wanaume ila binafsi napenda sana tena nkitoka kuoga naeza kumaliza lisaa zima katika kioo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahis utakuwa na figa ya maana otherwise usingekuw unapenda kufanya ivoSijajua kwa wanaume ila binafsi napenda sana tena nkitoka kuoga naeza kumaliza lisaa zima katika kioo
Hii hta mi imenitokea mara nyingi ninapokuwa na machunguKulia peke yako kama unamachungu
Duuuu[emoji15] [emoji15] [emoji15] hii kiboko!Kuua mbu gesti usiku waliokutafuna kwa hasira na kupaka damu zake kwenye kuta za chumba ili kufikisha ujumbe kwa wenye gesti
yaani cjui ni ugonjwaHii ni shida sana kwangu yaani cjui nitaachaje tabia hii
Yaani hii ni ugonjwa kabisa ukiwa na hii tabia huwezi acha ng'oyaani cjui ni ugonjwa
Marachache huwa nafanya haswa pindi dushe likiwa wimanaked ni wanawake mara nyingi ila kwa wanaume hakuna ila sijui kwa wenzangu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] tunafanana nnNimejiona mimi ujinga ninaofanyaga ndo maana nimecheka
Mimi naliaga nikiwa chooni au wakati wa kuogaKulia peke yako kama unamachungu
Tupo wote! Mama yangu ananiambia nimeathirika kisaikolojia. Nakula mpaka napata vidonda sometimes!Hii ni shida sana kwangu yaani cjui nitaachaje tabia hii
me nakula mpk kucha za miguuniTupo wote! Mama yangu ananiambia nimeathirika kisaikolojia. Nakula mpaka napata vidonda sometimes!
Hahahaa hata mimi nilikuwa nakula zamani, siku hizi nimenenepa nashindwa kujikunja.me nakula mpk kucha za miguuni
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] loooh eti kulamba kamasikulidisa dudu na kulichezea au kulamba kamasi
Eeeh.. yani napenda kujiangalia kwenye kioo na kuutukuza uumbaji wa Mungu.[emoji2] [emoji2] [emoji2] tunafanana nn
Utakuwa umejaliwa kwa kweli.Eeeh.. yani napenda kujiangalia kwenye kioo na kuutukuza uumbaji wa Mungu.
Raha tu kujiangalia ujue... Ukicheck hips lako, tak*, boobs, rangi ya mwili.
Hahahahhaaa.... sio sanaUtakuwa umejaliwa kwa kweli.