Lazima huwa unafanya moja ya vitu hivi unapohisi hakuna anaekuona!

Kuchomoa kipwinto (chupi imezama kwenye mstar wa ikweta )
[emoji28][emoji28][emoji28] umenikumbusha siku tunatoka na wenzangu ofisini nikajiweka mwishoni nitoe kipwinto duuh wa mbele akaniambia after you
 

Umeamua kutuambia tabia zako [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nakulaga mpaka kidole kilichozidiwa kinavimba kwa maumivu[emoji17] [emoji25]
Hahahaa yaani mpaka mtu unashindwa kushika vitu vizuri, kuoga au kufua. Hii hali ya kula kucha sijui inasababishwa na nini?
 
Kupima ukubwa wa dushe kwa rula au mkono..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…