Hahahaah halafu huwezi kujiangalia bila kugeuka upande kidogo kujiangalia takoo yani never. Hata kama huna ishu na kioo utajipitisha utajieuza nyuma tu kujiangaliaRaha tu kujiangalia ujue... Ukicheck hips lako, tak*, boobs, rangi ya mwili.
Duh! Ulivyoelezea kidogo utakuwa umejaliwa kisawa sawa. Hongera mkuuHahahahhaaa.... sio sana
[emoji28] ndo kazi ya kioo kirefu plus na catwalk flani.#5&kusimama naked mbele ya kioo
pole πππHahahaa hata mimi nilikuwa nakula zamani, siku hizi nimenenepa nashindwa kujikunja.
[emoji28][emoji28][emoji28] umenikumbusha siku tunatoka na wenzangu ofisini nikajiweka mwishoni nitoe kipwinto duuh wa mbele akaniambia after youKuchomoa kipwinto (chupi imezama kwenye mstar wa ikweta )
1.Kunusa baadhi ya maeneo ya mwili wako kuona kama yanatoa harufu!, mara nyingine unajikuna kisha unapeleka mkono puani kuona ni harufu gani utaskia.
2. Kuigiza kama unafanyiwa interview. Unajiuliza maswali kadhaa na kujijibu kwa kujiamin huku unatabasamu kana kwamba kuna mtu anakuona.
3. Kutoa uchafu puani kwa kutumia kidole kwa dakika kadhaa, na mtu akitokea ghafla, unajidai unakuna shavu!
4.Kula haraka haraka kwa kificho (tunda, kitafunwa nk) ofisini, nyuma ya mlango nk na kujifuta mdomo ili asigundue mtu!
5. Kutengeneza Sura mbalimbali mbele ya kioo na kuangalia unaonekanaje!
6 Kutoa Hewa chafu kwa sauti (Farting Loud). Hii hairuhusiwi kwenye jamii yetu!
7.Kutoa Haja ndogo wakati wa kuoga
8 Kufanya baadhi ya vitu kwa kutumia miguu badala ya mikono! Kufunga mlango au Kuokota vitu kwa kutumia vidole vya mguuni
9. Kula paketi nzima ya chakula Fulani ambayo pengine ungekula kwa siku kadhaa taratibu
Tuambie ni nini huwa unafanya ukiwa mwenyewe hapo chini
Kawaida hii mkuu..karibia kila mtu anafanya[emoji3][emoji3][emoji3]Umeamua kutuambia tabia zako [emoji23][emoji23][emoji23]
πππ[emoji28][emoji28][emoji28] umenikumbusha siku tunatoka na wenzangu ofisini nikajiweka mwishoni nitoe kipwinto duuh wa mbele akaniambia after you
Haaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!Kuchomoa kipwinto (chupi imezama kwenye mstar wa ikweta )
Mimi nakulaga mpaka kidole kilichozidiwa kinavimba kwa maumivu[emoji17] [emoji25]Tupo wote! Mama yangu ananiambia nimeathirika kisaikolojia. Nakula mpaka napata vidonda sometimes!
We kweli kibokome nakula mpk kucha za miguuni
Hahahaa yaani mpaka mtu unashindwa kushika vitu vizuri, kuoga au kufua. Hii hali ya kula kucha sijui inasababishwa na nini?Mimi nakulaga mpaka kidole kilichozidiwa kinavimba kwa maumivu[emoji17] [emoji25]
Asantepole πππ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] haya bhanaa kumbe tuko wengiEeeh.. yani napenda kujiangalia kwenye kioo na kuutukuza uumbaji wa Mungu.
Asante mkuu..Duh! Ulivyoelezea kidogo utakuwa umejaliwa kisawa sawa. Hongera mkuu
Umeonaaeee