lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,965
Inawezekana kweli! Ila mimi naona ni tatizo la kisaikolojia.Mkuu
mim nadhan inatokana na kudekezwa, ni sawa wale wanaopenda kunyonya vidole, muda wote mkono upo mdomoni.
Mtoto mwenye tabia hzo hasipokemewa utotoni, anaendelea na tabia hiyo hadi ukubwani
Psychological effects zinaingiaje hapo ?Inawezekana kweli! Ila mimi naona ni tatizo la kisaikolojia.
SawaPsychological effects zinaingiaje hapo ?
hiyo ni moja ya improper behaviours ambayo haikukemewa utotoni
Nikajua unanogesha story tu mkuu
Thank you .Hapana mkuu it's true jamani kwanini umefikiria hivo rafiki ???
Thanks twin.. You are my twin now eeeh??? From now on Can I call you twin???
Cc Smart911
Duh!.nimecheka sana hadi futari imeshukaKuchomoa kipwinto (chupi imezama kwenye mstar wa ikweta )
Ama hakikaHii Maada ya ajabu Sana.. Binadam tunafanana tabia
Hiyo ya kitoto sanaKudokoa chakula alichoekewa baba au mgeni akitokea mama unajidai kuzuga....
Kupigia simu milupo1.Kunusa baadhi ya maeneo ya mwili wako kuona kama yanatoa harufu!, mara nyingine unajikuna kisha unapeleka mkono puani kuona ni harufu gani utaskia.
2. Kuigiza kama unafanyiwa interview. Unajiuliza maswali kadhaa na kujijibu kwa kujiamin huku unatabasamu kana kwamba kuna mtu anakuona.
3. Kutoa uchafu puani kwa kutumia kidole kwa dakika kadhaa, na mtu akitokea ghafla, unajidai unakuna shavu!
4.Kula haraka haraka kwa kificho (tunda, kitafunwa nk) ofisini, nyuma ya mlango nk na kujifuta mdomo ili asigundue mtu!
5. Kutengeneza Sura mbalimbali mbele ya kioo na kuangalia unaonekanaje!
6 Kutoa Hewa chafu kwa sauti (Farting Loud). Hii hairuhusiwi kwenye jamii yetu!
7.Kutoa Haja ndogo wakati wa kuoga
8 Kufanya baadhi ya vitu kwa kutumia miguu badala ya mikono! Kufunga mlango au Kuokota vitu kwa kutumia vidole vya mguuni
9. Kula paketi nzima ya chakula Fulani ambayo pengine ungekula kwa siku kadhaa taratibu
Tuambie ni nini huwa unafanya ukiwa mwenyewe hapo chini