Nchi zetu hizi za kiafrika ni kama tumelaaniwa, itafika wakati watu wataona aibu kuzaliwa nchi zetu
hazina mipango wala chochote, mipango ni kutazama huduma za jamii basi,
Nikirudi kwenye Hoja, tunahitaji kuwa na mpango wa kuondoka katika utegemezi wa mafuta.
na hapa ni lazima tuweke mkakati katika maeneo yafuatayo
1. Matumizi ya gesi asilia ya kwetu kama mbadala wa mafuta
2. Matumizi ya nishati ya umeme kama mbadala wa mafuta
hapa tunaweza kuwa na mikakati ya mda mfupi na mda mrefu.
vitu kama uagizaji wa magari ili yatumie gesi au ubadilishaji wa yaliyopo ili yatumie gesi sambamba na ujenzi wa vituo vya kujazia gesi ni jambo tunaloweza kufanya ndani ya mda mfupi mpaka kati
matumizi ya vifaa vinavyotumia umeme badala ya mafuta unaweza kuwa mkakati wetu wa mda mrefu
hazina mipango wala chochote, mipango ni kutazama huduma za jamii basi,
Nikirudi kwenye Hoja, tunahitaji kuwa na mpango wa kuondoka katika utegemezi wa mafuta.
na hapa ni lazima tuweke mkakati katika maeneo yafuatayo
1. Matumizi ya gesi asilia ya kwetu kama mbadala wa mafuta
2. Matumizi ya nishati ya umeme kama mbadala wa mafuta
hapa tunaweza kuwa na mikakati ya mda mfupi na mda mrefu.
vitu kama uagizaji wa magari ili yatumie gesi au ubadilishaji wa yaliyopo ili yatumie gesi sambamba na ujenzi wa vituo vya kujazia gesi ni jambo tunaloweza kufanya ndani ya mda mfupi mpaka kati
matumizi ya vifaa vinavyotumia umeme badala ya mafuta unaweza kuwa mkakati wetu wa mda mrefu