Nasikia kwa wanawake wale wenye tatizo la ukavu wakati wa tendo ni dawa inaleta utelezi huko ikulu bamia na nyanya chungu
ngoja nilete maelezo ya hiyo dozi hapa
nilivutiwa na MziziMkavu na threa yake ya kuhusu pishi la bamia,.na kwangu ndo ilikua mara ya kwanza kujua kama inaitwa ladies finger, nshazoea okra mie kumbe !!!! basi katika pitapita yangu ya kuongeza maujuzi nikakutana na hii,. be careful with your tongue jamani, usijing'ate., KARIBU
[h=3]LEO NDIO NIMEJUA BAMIA KWA KIINGEREZA INAITWA ''LADIES FINGER''[/h]
Nilijua inaitwa okra lakini kumbe marekani ndio wanaita hivyo ila kwa kiingereza Ladies finger.
Kwa nini ziliitwa ladies finger?inasemekana ni kwasababu ya umbo lake lilivyo kama vidole vya mwanamke.
Bamia hukatwa na kupikwa kwa mapishi tofauti tofautiUkaipika kwa urefu kwa maana ya kukata kikonyo na ncha yakekisha kuiunga na nazi.Hizi zimewekwa tayari kwa kuokwa.Zimepasuliwa katikati halafu kwa ndani ukawekwa mchanganyiko wa vitunguu maji,jeera,coriender,pilipili ya unga,chumvi,mafuta ya kula,tangawizi na nazi vikachanganywa na kutiwa humo.Hii ni recipe ya kihindi ndio huwa wantengeneza hivi.Huu sio mlenda bali zimekatwa ndogo ndogo zikaungwa vizuri kama zinavyoonekana...njaa inaanza kuniuma sasa maana ninavyopenda bamia.Mlenda pale unahusika.....ukichanganya na majani ya maboga,nyanya chungu saafi unapika ladies finger zako.India wanakula sana bamia....hii ni salad ambayo imetengenezwa baada ya kuziosha vizuri ladies finger zako.Unakata kikonyo unaziweka kwenye sufuria na maji kidogo halafu unazichemsha kwa dk 3 hvi ila zibaki kijani kama zilivyo.Unakatakata nyanya vidogo vidogo,vitunguu,pilipili,unatia chumvi,limao kama unavyotengeneza kachumbari.Baada ya hapo unakata bamia kama zinavyoonekana unatia hiyo salad yako tayari kuliwa.Faida ya kula Ladies finger bamia1.Inasemekana ni chakula kizuri kwa watu wenye msongo wa mawazo,wanaojisikia weak n.k2.Ni chakula kizuri kwa wanaotaka kupunguza mwili.3.Mbegu za bamia zina protine nyingi na mafuta4.Inasaidia mmeng'enyo wa chakula na kupata choo vizuri5.Zina vitamin A na C6.Madini ya potassium,calcium na magnesium7. Wataalamu wengine wanasema ni msaada kwa wenye matatizo ya vidonda vya tumbo kwani hupunguza acid mwilini
Kula bamia zako wala usizichukulie poa kisa zinateleza,ziko bomba kiafya.
ahaaa kibao kata ndo nini? nasikia ukichanganya na asali the uchambie wine kitu kinakuwa super balaa,hebu jaribu uje uniambie
nilivutiwa na MziziMkavu na threa yake ya kuhusu pishi la bamia,.na kwangu ndo ilikua mara ya kwanza kujua kama inaitwa ladies finger, nshazoea okra mie kumbe !!!! basi katika pitapita yangu ya kuongeza maujuzi nikakutana na hii,. be careful with your tongue jamani, usijing'ate., KARIBU
LEO NDIO NIMEJUA BAMIA KWA KIINGEREZA INAITWA ''LADIES FINGER''
Nilijua inaitwa okra lakini kumbe marekani ndio wanaita hivyo ila kwa kiingereza Ladies finger.
Kwa nini ziliitwa ladies finger?inasemekana ni kwasababu ya umbo lake lilivyo kama vidole vya mwanamke.
Bamia hukatwa na kupikwa kwa mapishi tofauti tofautiUkaipika kwa urefu kwa maana ya kukata kikonyo na ncha yakekisha kuiunga na nazi.Hizi zimewekwa tayari kwa kuokwa.Zimepasuliwa katikati halafu kwa ndani ukawekwa mchanganyiko wa vitunguu maji,jeera,coriender,pilipili ya unga,chumvi,mafuta ya kula,tangawizi na nazi vikachanganywa na kutiwa humo.Hii ni recipe ya kihindi ndio huwa wantengeneza hivi.Huu sio mlenda bali zimekatwa ndogo ndogo zikaungwa vizuri kama zinavyoonekana...njaa inaanza kuniuma sasa maana ninavyopenda bamia.Mlenda pale unahusika.....ukichanganya na majani ya maboga,nyanya chungu saafi unapika ladies finger zako.India wanakula sana bamia....hii ni salad ambayo imetengenezwa baada ya kuziosha vizuri ladies finger zako.Unakata kikonyo unaziweka kwenye sufuria na maji kidogo halafu unazichemsha kwa dk 3 hvi ila zibaki kijani kama zilivyo.Unakatakata nyanya vidogo vidogo,vitunguu,pilipili,unatia chumvi,limao kama unavyotengeneza kachumbari.Baada ya hapo unakata bamia kama zinavyoonekana unatia hiyo salad yako tayari kuliwa.Faida ya kula Ladies finger bamia1.Inasemekana ni chakula kizuri kwa watu wenye msongo wa mawazo,wanaojisikia weak n.k2.Ni chakula kizuri kwa wanaotaka kupunguza mwili.3.Mbegu za bamia zina protine nyingi na mafuta4.Inasaidia mmeng'enyo wa chakula na kupata choo vizuri5.Zina vitamin A na C6.Madini ya potassium,calcium na magnesium7. Wataalamu wengine wanasema ni msaada kwa wenye matatizo ya vidonda vya tumbo kwani hupunguza acid mwilini
Kula bamia zako wala usizichukulie poa kisa zinateleza,ziko bomba kiafya.
ahaaa kibao kata ndo nini? nasikia ukichanganya na asali the uchambie wine kitu kinakuwa super balaa,hebu jaribu uje uniambie
hii sio mchina mamii. mimi nilisikia tu wala sijatumia.hebu jaribu leo na mzee uje utupe majibushosti umeanza kutumia dawa za kichina
hii sio mchina mamii. mimi nilisikia tu wala sijatumia.hebu jaribu leo na mzee uje utupe majibu
Asee inawezekanaaa!! Kumbe ndo mana sikupata shiiidaaa.hasa wanawake wajawazito coz inarahisisha wakati wa kujifungua hujikakamui sana, utashangaa mara chap mtoto huyo, hii ni kwa mujib wa mama yangu jaman.hasa ujauzito wa miez 7 na kuendelea