Lazima uupende mlo huu

Lazima uupende mlo huu

Nasikia kwa wanawake wale wenye tatizo la ukavu wakati wa tendo ni dawa inaleta utelezi huko ikulu bamia na nyanya chungu
ngoja nilete maelezo ya hiyo dozi hapa

kumbe ndio maana da Chausiku anapenda kula nyanya chungu nishajua sasa duu asante sana da smile..
 
nilivutiwa na MziziMkavu na threa yake ya kuhusu pishi la bamia,.na kwangu ndo ilikua mara ya kwanza kujua kama inaitwa ladies finger, nshazoea okra mie kumbe !!!! basi katika pitapita yangu ya kuongeza maujuzi nikakutana na hii,. be careful with your tongue jamani, usijing'ate., KARIBU


[h=3]LEO NDIO NIMEJUA BAMIA KWA KIINGEREZA INAITWA ''LADIES FINGER''[/h]
Nilijua inaitwa okra lakini kumbe marekani ndio wanaita hivyo ila kwa kiingereza Ladies finger.
Kwa nini ziliitwa ladies finger?inasemekana ni kwasababu ya umbo lake lilivyo kama vidole vya mwanamke.
Bamia hukatwa na kupikwa kwa mapishi tofauti tofauti
Ukaipika kwa urefu kwa maana ya kukata kikonyo na ncha yakekisha kuiunga na nazi.​
Hizi zimewekwa tayari kwa kuokwa.Zimepasuliwa katikati halafu kwa ndani ukawekwa mchanganyiko wa vitunguu maji,jeera,coriender,pilipili ya unga,chumvi,mafuta ya kula,tangawizi na nazi vikachanganywa na kutiwa humo.Hii ni recipe ya kihindi ndio huwa wantengeneza hivi.
Huu sio mlenda bali zimekatwa ndogo ndogo zikaungwa vizuri kama zinavyoonekana...njaa inaanza kuniuma sasa maana ninavyopenda bamia.
Mlenda pale unahusika.....ukichanganya na majani ya maboga,nyanya chungu saafi unapika ladies finger zako.
India wanakula sana bamia....hii ni salad ambayo imetengenezwa baada ya kuziosha vizuri ladies finger zako.Unakata kikonyo unaziweka kwenye sufuria na maji kidogo halafu unazichemsha kwa dk 3 hvi ila zibaki kijani kama zilivyo.Unakatakata nyanya vidogo vidogo,vitunguu,pilipili,unatia chumvi,limao kama unavyotengeneza kachumbari.Baada ya hapo unakata bamia kama zinavyoonekana unatia hiyo salad yako tayari kuliwa.
Faida ya kula Ladies finger bamia
1.Inasemekana ni chakula kizuri kwa watu wenye msongo wa mawazo,wanaojisikia weak n.k
2.Ni chakula kizuri kwa wanaotaka kupunguza mwili.
3.Mbegu za bamia zina protine nyingi na mafuta
4.Inasaidia mmeng'enyo wa chakula na kupata choo vizuri
5.Zina vitamin A na C
6.Madini ya potassium,calcium na magnesium
7. Wataalamu wengine wanasema ni msaada kwa wenye matatizo ya vidonda vya tumbo kwani hupunguza acid mwilini


Kula bamia zako wala usizichukulie poa kisa zinateleza,ziko bomba kiafya.

nimeipenda hiyo bamia salad..
 
hebu tuma hela ya kununua asali na wine (5 litres manake mashaallah, sasa ikiwa kichupa haitoshi)
nakungojea:A S 100:
ahaaa kibao kata ndo nini? nasikia ukichanganya na asali the uchambie wine kitu kinakuwa super balaa,hebu jaribu uje uniambie
 
nilivutiwa na MziziMkavu na threa yake ya kuhusu pishi la bamia,.na kwangu ndo ilikua mara ya kwanza kujua kama inaitwa ladies finger, nshazoea okra mie kumbe !!!! basi katika pitapita yangu ya kuongeza maujuzi nikakutana na hii,. be careful with your tongue jamani, usijing'ate., KARIBU


LEO NDIO NIMEJUA BAMIA KWA KIINGEREZA INAITWA ''LADIES FINGER''


Nilijua inaitwa okra lakini kumbe marekani ndio wanaita hivyo ila kwa kiingereza Ladies finger.
Kwa nini ziliitwa ladies finger?inasemekana ni kwasababu ya umbo lake lilivyo kama vidole vya mwanamke.
Bamia hukatwa na kupikwa kwa mapishi tofauti tofauti
Ukaipika kwa urefu kwa maana ya kukata kikonyo na ncha yakekisha kuiunga na nazi.​
Hizi zimewekwa tayari kwa kuokwa.Zimepasuliwa katikati halafu kwa ndani ukawekwa mchanganyiko wa vitunguu maji,jeera,coriender,pilipili ya unga,chumvi,mafuta ya kula,tangawizi na nazi vikachanganywa na kutiwa humo.Hii ni recipe ya kihindi ndio huwa wantengeneza hivi.
Huu sio mlenda bali zimekatwa ndogo ndogo zikaungwa vizuri kama zinavyoonekana...njaa inaanza kuniuma sasa maana ninavyopenda bamia.
Mlenda pale unahusika.....ukichanganya na majani ya maboga,nyanya chungu saafi unapika ladies finger zako.
India wanakula sana bamia....hii ni salad ambayo imetengenezwa baada ya kuziosha vizuri ladies finger zako.Unakata kikonyo unaziweka kwenye sufuria na maji kidogo halafu unazichemsha kwa dk 3 hvi ila zibaki kijani kama zilivyo.Unakatakata nyanya vidogo vidogo,vitunguu,pilipili,unatia chumvi,limao kama unavyotengeneza kachumbari.Baada ya hapo unakata bamia kama zinavyoonekana unatia hiyo salad yako tayari kuliwa.
Faida ya kula Ladies finger bamia
1.Inasemekana ni chakula kizuri kwa watu wenye msongo wa mawazo,wanaojisikia weak n.k
2.Ni chakula kizuri kwa wanaotaka kupunguza mwili.
3.Mbegu za bamia zina protine nyingi na mafuta
4.Inasaidia mmeng'enyo wa chakula na kupata choo vizuri
5.Zina vitamin A na C
6.Madini ya potassium,calcium na magnesium
7. Wataalamu wengine wanasema ni msaada kwa wenye matatizo ya vidonda vya tumbo kwani hupunguza acid mwilini


Kula bamia zako wala usizichukulie poa kisa zinateleza,ziko bomba kiafya.

Hii kitu ni tamu sana hata mbichi natupiamo tumboni tu!
 
:A S tongue: ooooohhh ghoshhhhh...Mautamu mate kujaa kwa domo. Kitu weka na udaga utapenda sana.
 
Hii ilikuwa menu yangu ya jana na ugali ..kweli lqazima uipende hii menu
 
Nazipenda sana ila kwa wanaume siku ukila jitahidi usile mpododo.Bamia haziwezi kusimamisha fimbo ya Musa.
 
hasa wanawake wajawazito coz inarahisisha wakati wa kujifungua hujikakamui sana, utashangaa mara chap mtoto huyo, hii ni kwa mujib wa mama yangu jaman.hasa ujauzito wa miez 7 na kuendelea
Asee inawezekanaaa!! Kumbe ndo mana sikupata shiiidaaa.
 
Back
Top Bottom