Lazy time & Unserious

Tafuta bwana uolewe awe anakupga cha asbh hapo anakuwa ameshakuamsha na kumpkia chai.
 
Utamlisha nini kama mwenyewe kujihudumia tatizo?

[mention]Oppomall [/mention] Tofautisha kukosa kazi na kukosa hela[emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna wanaokosa kazi na hela hawana
Na kuna tunaokosa kazi na hela tunazo

Hela ambayo sina saizi labda ni kuendesha project kama ujenzi nk lakin si matumizi ya nyumbana na binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…