Lazy time & Unserious

Lazy time & Unserious

Imagine hii tanzania kuna mtaa unaitwa hili jina
IMG_1365.jpg

Serikali ichukue nafasi yake
 
Utamlisha nini kama mwenyewe kujihudumia tatizo?

[mention]Oppomall [/mention] Tofautisha kukosa kazi na kukosa hela[emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna wanaokosa kazi na hela hawana
Na kuna tunaokosa kazi na hela tunazo

Hela ambayo sina saizi labda ni kuendesha project kama ujenzi nk lakin si matumizi ya nyumbana na binafsi
 
Back
Top Bottom