Winnone
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,521
- 4,143
uliza sasa[emoji23]
Za huko daslm kwanza?! Pole na joto[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uliza sasa[emoji23]
sipo dar nipo bush😂Za huko daslm kwanza?! Pole na joto[emoji16]
sipo dar nipo bush[emoji23]
la huku kawaida linavumilika😂Ndo naulizia huko huko dar bush[emoji3] au huko joto halijafika[emoji55]
la huku kawaida linavumilika[emoji23]
karibu😂Ahaaa hap sawa.. basi nitakutafut badae tuzungumze kitu[emoji4] ila hii niseriuos hauchelewe kusema ni utani asee
karibu[emoji23]
hamna we si umesema una issue serious ya kuniambia😂Ndo kinyonge hivyo kama vile nmekuomba figo[emoji16][emoji16]
hamna we si umesema una issue serious ya kuniambia[emoji23]
si useme😂Si ndio tena nizaid ya serious yan kama haujala naomb ule ushibe ukae na dum la maji ya kunywa pembeni[emoji1551]
si useme[emoji23]
[emoji1551][emoji1551][emoji1551][emoji2957] tulia hap kwanza mambo mazur hayataki haraka
Ewaaaa kama ni hivy bas nakuja, ngoja nijikoki niilete[emoji3059]
si umesema huna lips wala nyash mbona huko unakubali
ebu weka picha yako nikuone !… piga picha hata ya vidole tu
Vidole vipi unavyotak kuviona
Hahahaha kameshapata wivu[emoji3][emoji3][emoji3] issue yako na yake ni tofauti huy namdai[emoji81]
vya mikono
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Sitaki udaiane na wanaume[emoji23][emoji23]
Aahaa, tatiz vidole vyang vishazoea kuchoma mkaa na kuvuna mpunga majaruban ko naogop kuvimwaga hapa hadharani[emoji3][emoji3] we tulia tu nikifika utaviona