Jeshi la polisi Manyara linawashikilia watu 10 wakiwemo Watumishi 9 wa LBL Manyara

Jeshi la polisi Manyara linawashikilia watu 10 wakiwemo Watumishi 9 wa LBL Manyara

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Jeshi la polisi Mkoani Manyara linawashikilia watumiwa 10 kwa makosa mbalimbali ikiwemo utapeli Kwa kutumia kampuni ya kitapeli ijulikanayo kama Manyara LBL Company Limited inayotoa huduma za kuwekeza na kukopesha fedha kinyume cha sheria na kanuni za Benki Kuu ya Tanzania huku mmoja wa watuhumiwa hao akijihusisha na ulaghai wa kingono na kuwatapeli wanawake kupitia mitandao ya kijamii.

Kamanda wa jeshi la polisi Mkoani Manyara,SACP Ahmed Makarani amesema katika tukio la ulaghai wa kingono Kijana aliyekamatwa na jeshi hilo ni Victor Onesmo (30) ambapo mtuhumiwa amekuwa akijifanya daktari kisha kuwalaghai wanawake kingono na baadaye kuwaibia simu na vitu vingine.

Source: Clouds Tv

Soma pia :
 
Pamoja na kuwalaghai wanachama wao kuwa wamewasilisha nyaraka zote BoT kwa uhakiki/ usajili . LBL mpaka sasa hawajafanya hivyo. Wanachama jiandaeni kisaikolojia jamaa wanawapuna kindezi dakika za jioooni kwa mgongo wa ku-upgrade
Umejuaje mkuu,unajua nchi hii hatuwezi.kupiga hatua sababu hatutaki technology inayoendela,imagine magari ya umeme hatutaki
 
Kuna jamaa mmoja alinishawishi nijiumge 😀 eti nikiangalia movie nalipwa halafu kujiunga nitoe pesa na yeye ndiye atakaye niunga

Akanionyesha clip mbili za ITV na Chanel 10 LBL ikionyeshwa kwenye taarifa ya habari

Nikajiuliza why anionyeshe mpaka clip na pesa anazoingiza nikaona hii ni Wnet na Global alliance iliyochangamka


Nilimwambia ngoja nitafute pesa akanisisitiza nitafute kumbe namchorq tu


Juzi kati hapa kitu kime buma naona habari millald ayo kapost kuwa ni matapeli😆
 
Kuna jamaa mmoja alinishawishi nijiumge 😀 eti nikiangalia movie nalipwa halafu kujiunga nitoe pesa na yeye ndiye atakaye niunga

Akanionyesha clip mbili za ITV na Chanel 10 LBL ikionyeshwa kwenye taarifa ya habari

Nikajiuliza why anionyeshe mpaka clip na pesa anazoingiza nikaona hii ni Wnet na Global alliance iliyochangamka


Nilimwambia ngoja nitafute pesa akanisisitiza nitafute kumbe namchorq tu


Juzi kati hapa kitu kime buma naona habari millald ayo kapost kuwa ni matapeli😆
Millard Ayo ni mfanyabiashara,wewe ukitolewa kafara Haina shida,lakini pia kutengeneza faida ni ishu ya Dunia na ya mtu husika,wewe bakia ulipo na yeye abakie alipo,Mimi nilikuwa na shamba pori tayari nimelihudumia, na wakati naona maelezo yako nimefurahi, sababu kila mtu na maisha yake.Wengine wameoa sababu wanaweza toa kodi ya meza kwa sasa,lakini pia wewe ukisikia kitu kinaitwa AI jua kuwa dunia imefika mbali,pia tunakoelekea baadhi ya serikali zitapitwa na wakati miongoni mwake hii ya uchumi wa blue. Ahsante
 
Sasa kwanini serikali isifanye namna ika rescue pesa za watanzania otherwise tuamini BOT na LBL wameshirikiana kuibia watanzania
 
Back
Top Bottom