"You don't understand. I coulda had class. I coulda been a contender. I coulda been somebody, instead of a bum, which is what I am, let's face it. I was just NOT
wewe huyu
basi ajikite huko jumla
huyu jamaa ni multi purpose, ana degree "mbili" na bado NYC alikuwa dereva wa track tu.
Bongo sasa hivi ana kampuni karibu sita hizo ndio sauti za umeme the big show big time.
@ upanga sea view kwa baba.
mkuu weka huyu kwenye ignore list upumzike.Ndio unajifunza kuandika? unatafuta umaarufu kwangu? unajuwa hata chembe kuhusu satanic? bado unanukia maziwa ya mama tafuta teenager wenzio wa kufanya nao rubbish argument kama hizo.
mburumundu kigogo ha ha haaa:smile-big:Hili jamaa ni hovyo sijui hata mzee malecela kama ni mtoto wake huyu...mbona halina akili kabisa?
mkuu weka huyu kwenye ignore list upumzike.
Ndio unajifunza kuandika? unatafuta umaarufu kwangu? unajuwa hata chembe kuhusu satanic? bado unanukia maziwa ya mama tafuta teenager wenzio wa kufanya nao rubbish argument kama hizo.
anajitahidi kusogeasogeaAsije kwenye siasa?
Hahaa,
Nikafikiri wewe ndiye unalo unakuja kutuonyesha.
Whatever the age, there is an intrinsic conflict of interest, almost an incestuously repulsive intrusion, in one being in both UVCCM and wazazi.
If at all that is the case and not just JF banter.
Hili jamaa ni hovyo sijui hata mzee malecela kama ni mtoto wake huyu...mbona halina akili kabisa?
Hio quote na alikotiwa yupo hapo the waterfront! Au gramma kidogo inasumbua?"You don't understand. I coulda had class. I coulda been a contender. I coulda been somebody, instead of a bum, which is what I am, let's face it. I was just NOT
wewe huyu
Duh,
JF mpaka Marlon Brando yumo?
On The Waterfront "I could have been a contender": On The Waterfront "I could have been a contender" - YouTube
Kwa hiyo unajaribu kusema Wema hana mchango kwenye hiyo hela?Hivi nani kasema 13ml zilitokana na wema? Mh jamani usilolikua ni kama usiku waa giza tukumbukr jambo moja tu huyu kajala alikuwa na mume wake ambaye mpaka leo anatumikia kufungo sasa ni mwanaume gani angesimama kusema anamtolea hiyo hela kajala ikiwa ni mke wa mtu? Basi ikatumika busara funika kombe mwanaharamu apite.
Kuwa mzazi kijanakuna uajabu gani? Bado sijaona la ajabu hapo!
Baba lizima linaingilia ugomvi wa wanawake,