Uzuri nilimcreditMUHUSIKA! Haloooooooooooo!kwa hio hamna a ademic offdnce yeyote hapo kila kitu wazi!
Hii ni comment ya kitoto kabisa.Le Mutuz ni kirusi jamii ya trojan--kikiingia kwenye PC yako sio rahisi kukiondoa. Mkuu Le, ni lini hasa utakuwa? Why are you getting involved in such a nasty feud? Even if you're still chronological immature, just pretend to be miniaturely mature! Unatia aibu sana kwa kweli ndugu yangu.
mkuu weka huyu kwenye ignore list upumzike.
Umenena stata mzuka. Kajala anatakiwa kufikiri sana kwenye hili. Wema si mkamilifu lakini Kajala alipaswa kumchukulia kama mzazi wake aliiye jitoa kwa hali na mali.Twende mbele turudi nyuma kumtolea mtu Mil.13 ambaye sio ndugu yako inataka Moyo kwa kweli kwa hili Wema big up sana,,Kajala sasa hivi hizi bata zote angezisikia Behind bars wangempeleka Sabuni na pedi tu. Shukrani muhimu kwakweli hata km mtu ana mapingufu yake jiulize ukoo mzima walishindwa kumtolea hiyo hela.
TENDA WEMA NENDA ZAKO USINGOJE SHUKRANI.
SHUKRANI YA PUNDA NI MATEKE.
Kajala ni mnafiki!! Akiwa kwenye media anasema yaishe ili aonekane si mshari na mtu mwema!! Lakini ukimkuta sehemu za starehe na shosti zake, matusi na kejeli anazoporomosha kuhusu wema huwezi kuamini..
kulaaa gwaraaa mamylo ume ungea kitu cha muhimu sana sio wote wananywele nyeupe wanabusraLe baharia kanichekesha Instagram eti angeambiwa yeye ni mbaya angekosa usingizi
afadhali kaambiwa shida yake ni kitambi tu hivo atakishughulikia
ha ha ha hapa ndo sionagi umuhimu wa kigezo cha umri kwenye ndoa
unaeza kuwa na mtu mzima ila ni mzigo, tena zigo la misumari hata kulibeba huwezi....
Umenena stata mzuka. Kajala anatakiwa kufikiri sana kwenye hili. Wema si mkamilifu lakini Kajala alipaswa kumchukulia kama mzazi wake aliiye jitoa kwa hali na mali.
Kajala anatakiwa kujua undugu na Uzazi ni zaidi ya kushare Damu.
Kuninyanyasa kisa ulinisaidia hyo haikubaliki......ukitaka Nikuabudu kisa ulinisaidia hakika utafeli
Niliposema funika kombe mwanaharam apite hukujua maana yake? Haya ngoja nikujuze wema hakutoa hiyo hela ya kumkomboa kajala ila wema alisimama kama kivuli tu upo hapo?
Hata kama ya kuhongwa ni yake pia,,,we unaweza ukahongwa hiyo hela na usiitoe vilevile kumlipia mtu.[/Q
UOTE]
Word!
Ungeona alichoandika ungecheka sana.....aiseeeeh!!!!! ze BIG ze head Ze BIG ze akili.......
ila hili ameongea point kwa mbali.
Busara tupu Le Mutuz!!! Hawa ni maneno ya busara toka kwa mtu mzima. Hajaandika matusi bali amelenga amani. Kilicho kichwani kwa watu wenye busara ni hicho hicho aluchoandika William. Msemo unasema Shukrani ya punda ni mateke!!!! Kwa kuwa tunaishi haitakuwa mwisho wa Kajala kufanya uovu maana anapenda vya mteremko. Na mumewe ali appeal so hatujui matokeo. Amanda Cox wa USA alifanya appeal akashinda kesi ya kuua!!! Leo hii hukumu ilipitiwa upya na upelelezi na kesi inaanza upya!!!! Wema alifanya wema ambao Kajala anaudharau. Mdharau mwiba mguu huota tende. Tusubiri.