tumeghairisha shughuri kwa muda maana tulipanga ifanyike uwanja mpya wa taifa ila kamati ya maandalizi imeona uwanja hautatosha bado tunachukuwa maoni kwa wale wanaojuwa wapi tunaweza kuwaweka wageni laki tatu.
nyie wabeba box ebu acheni utaahira wenu hapa
Fasili mithaki si jinai, karabai zimesaki msambe kiza.
Kutawili penzi la tenzi si ushenzi, kukwea kisoi hasama tangu enzi.
View attachment 155566
We bumunda karabati nyumba ya mamako kwanza ndo uje na mbwembwe zako za hufanya harusi sijui uwanja wa taifa..mxxxx
atasema mnamsingizia hapo alikua kwenye kampeni MpwapwaView attachment 155566
We bumunda karabati nyumba ya mamako kwanza ndo uje na mbwembwe zako za hufanya harusi sijui uwanja wa taifa..mxxxx
You guys dont know anything, alichomind kajala kwa nini wema alimpa papuchi uwoya kule A town amnyonye akati yeye alishajitolea kumsaga maisha yake yote? Truth be told ray na steve nyerere waliwafuma chooni wakajaropoka pale kwa mwanangema
Kumbeeee wanasagana wao halaf wanaonea wivu tenaa makubwaa
Sitakuja kushika k ya mwanamke mwenzangu mpaka nadedii aiseee
View attachment 155566
We bumunda karabati nyumba ya mamako kwanza ndo uje na mbwembwe zako za hufanya harusi sijui uwanja wa taifa..mxxxx
Mkuu ameshaweka madirisha ya vioo au haujavaa mawani nini?
Utovu naima kwa ahaliyo si tamati ya nadhama kwa hadhira.
Chonjo wajila, afaka fanaka, madaha si karaha, kimelea upingamizi kimbonelea cha wizi, kukosa meno si kukata fizi.
Kiada vipawa shawishi ya shauku, afriti yamkini kukithiri hiana.
Fasili mithaki si jinai, karabai zimesaki msambe kiza.
Kutawili penzi la tenzi si ushenzi, kukwea kisoi hasama tangu enzi.
Kiranga muda flani mnaboa,kukariri mambo yenu ambayo yapo nje ya mada.
Le baharia kanichekesha Instagram eti angeambiwa yeye ni mbaya angekosa usingizi
afadhali kaambiwa shida yake ni kitambi tu hivo atakishughulikia
ha ha ha hapa ndo sionagi umuhimu wa kigezo cha umri kwenye ndoa
unaeza kuwa na mtu mzima ila ni mzigo, tena zigo la misumari hata kulibeba huwezi....
Unaweza kuruka tu, si lazima kusoma kila post yangu.
Unaruhusiwa pia kuniweka kwenye ignore list usione chochote nitakachoandika.
Lakini usijaribu kunifinyia uhuru wangu wa kujinafasi hapa JF.
brother hiki kiswahili?? ukiandika kiingereza inabidi dictionary iwe karibu na kiswahili tena kamusi inabidi ihusike kha!!!