Le Mtuz this is Too Low for You

Le Mtuz this is Too Low for You

tumeghairisha shughuri kwa muda maana tulipanga ifanyike uwanja mpya wa taifa ila kamati ya maandalizi imeona uwanja hautatosha bado tunachukuwa maoni kwa wale wanaojuwa wapi tunaweza kuwaweka wageni laki tatu.

Si afanye harusii ya kawaida mbwembweee za niniiii
 
Huyu akamjengejee nyumba mamake kwanza,mamake anakaa kwenye tembe kule tunduma
 
ImageUploadedByJamiiForums1399142102.128560.jpg

We bumunda karabati nyumba ya mamako kwanza ndo uje na mbwembwe zako za hufanya harusi sijui uwanja wa taifa..mxxxx
 
You guys dont know anything, alichomind kajala kwa nini wema alimpa papuchi uwoya kule A town amnyonye akati yeye alishajitolea kumsaga maisha yake yote? Truth be told ray na steve nyerere waliwafuma chooni wakajaropoka pale kwa mwanangema
 
You guys dont know anything, alichomind kajala kwa nini wema alimpa papuchi uwoya kule A town amnyonye akati yeye alishajitolea kumsaga maisha yake yote? Truth be told ray na steve nyerere waliwafuma chooni wakajaropoka pale kwa mwanangema

Kumbeeee wanasagana wao halaf wanaonea wivu tenaa makubwaa
Sitakuja kushika k ya mwanamke mwenzangu mpaka nadedii aiseee
 
Kumbeeee wanasagana wao halaf wanaonea wivu tenaa makubwaa
Sitakuja kushika k ya mwanamke mwenzangu mpaka nadedii aiseee

Yeah walikuwa wanasagana baada ya hapo kajala akaona isiwe shida afterall hizo milion 13 anazilipa daily wema hana ubavu wa kutoa 13 milion mfukoni ukitegemea ile movie yake wahindi waliikataa kutokana na dau kubwa
 
Utovu naima kwa ahaliyo si tamati ya nadhama kwa hadhira.

Chonjo wajila, afaka fanaka, madaha si karaha, kimelea upingamizi kimbonelea cha wizi, kukosa meno si kukata fizi.

Kiada vipawa shawishi ya shauku, afriti yamkini kukithiri hiana.

Kiranga muda flani mnaboa,kukariri mambo yenu ambayo yapo nje ya mada.
 
Fasili mithaki si jinai, karabai zimesaki msambe kiza.

Kutawili penzi la tenzi si ushenzi, kukwea kisoi hasama tangu enzi.

brother hiki kiswahili?? ukiandika kiingereza inabidi dictionary iwe karibu na kiswahili tena kamusi inabidi ihusike kha!!!
 
Le baharia kanichekesha Instagram eti angeambiwa yeye ni mbaya angekosa usingizi
afadhali kaambiwa shida yake ni kitambi tu hivo atakishughulikia
ha ha ha hapa ndo sionagi umuhimu wa kigezo cha umri kwenye ndoa
unaeza kuwa na mtu mzima ila ni mzigo, tena zigo la misumari hata kulibeba huwezi....

Hahaha! Like the comment.
 
brother hiki kiswahili?? ukiandika kiingereza inabidi dictionary iwe karibu na kiswahili tena kamusi inabidi ihusike kha!!!

Majazi ya mkarama tuhuma, hata nuruze jua hupaziwa.
 
Back
Top Bottom