Le Mutuz aenda kumsalimia Shose Sinare gerezani

Status
Not open for further replies.
- hahahahahaha wamekupa ukiranja wa kuwaamulia watu hapa JF what to do? duh hahahahahahahaha

le Mutuz

Ukiranja wa JF unisaidie nini mie Samaritan ambae hata sio mtu wa social media? Point yangu ilikua watu watakusingizia na kusema mengi juu yako yakiwemo ya ukweli na uongo, ndio maana nikashauri mengine unapotezea tu unaendelea na mipango yako...that was my point.
 
- Huwa siongelei watoto wangu kwenye Social Media never, so umekosea on that hahahahahahaha

le Mutuz
Lini utarudi majuu u know ths time umekaa sana Tz ukaongezee the gademu ur fourth degree....hahahahahaha afu umeniblock kule inst fanya kuniblokuwa bs nimemic kuwaona mbebezzzzzz tofouttofaut in ur page Le akili Kubwazzzz u know...u love it hahahahahaha
 

- Miaka 20 kwenye Social Media with my own Social Media Company kweli una cha kunishauri boss? Now aliyekupa nafasi ya kushauri watu humu JF ni nani mkuu? I mean nimekuambia this is a Social Media it is my music wewe hapa hata ucheze vipi huwezi kunishinda ila utaishia kunisaidia tu cause I live for this game, next time jishauri mwenyewe wachana na watu kama usiowajua ok na ambao hawajakuomba ushauri hahahahahah U know

le Mutuz
 

Noted Sir, The King of all Social Media!
 

- Majuu I am done nilienda kutafuta Elimu na maarifa sasa nayatumia hapa bongo kwa faida yangu, na hii hapa JF ni mojawapo ya my music ukiwa na akili nyingi kama mimi wajinga huwa wanakurupuka kukushambulia lakini unawatumia kwa manufaa yako as I do here, tizama hii thread imeshapitiwa na viewers 11,000 tayari ndio maana ya kuwachezesha watu wimbo wako!! ndio maana Wazungu wakiambiwa kurudi kwao wanalia machozi maana wabongo bado sana kazi majungu tu

le Mutuz
 

Mkuu mimi binafsi nimeipenda hiyo namba 4.Watanzania wengi wana business lakini wanakuwa wagumu kuisaidia serikali na pia hususani tatizo Zima la ajira . Vijana wengi hawana ajira na ni graduate. Nimefuatilia huu uzi kwa makini pamoja na kwamba nimeona wapo watu wengine wanakubeza lakini,mimi sikufahamu nadhani wala wewe hunifahamu,wasije wakasema unanilipa ili nikufagilie lakini mimi nasema ukweli kilichopo moyoni. "Msema kweli ni mpenz wa Mungu" by Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania-Dr.JPM. Kaka u did the job men.big up sana kwa kuajiri graduate wanne na Mungu akubariki na akufanikishe mipango yako ili objective yako ya kuajiri graduates 10 watanzania iwe successfully.

Jamani watanzania tusimbeze huyu mjasiriamali mwenzetu,nadhani badala yake tumtie moyo azidi ku grow,remember "WHAT IS POISON TO YOU,IS MEDICINE TO THE OTHER PERSON"

Kikurajembe Original
 

- Salute, ila usijali sana hawa hawanisumbui maana hawajitambui so relax niachie hawa U know hahahaha

le Mutuz
 
The gademu Baba Swalehe,,,kwenye ubora wake
Lini hit song yako inatoka ya kumjibu NikiwaII? Hahahahahaha u know sina kaz na nimegraduet kwenye hizo safar zako fanya twende wote

- Well, time is running so nawahi home kufunga vitu vya safari niwahi Airport ndege ya leo usiku U know, so guys thank U but will catch up nikirudi kabla ya kwenda South Africa nitapitia tena hapa U know SALUTE WATU WOTE!! NA SEE YAH SOON!!

le Mutuz
 
- Well, time is running so nawahi home kufunga vitu vya safari niwahi Airport ndege ya leo usiku U know, so guys thank U but will catch up nikirudi kabla ya kwenda South Africa nitapitia tena hapa U know SALUTE WATU WOTE!! NA SEE YAH SOON!!

le Mutuz
Safar njema Le akili kubwazzzz wape hi warembo wote huko utakaopiga nao picha hahahahahaha u know u live ur gademu f...u.ck life Lembururaaaazzzz
 
Yale yale uzee ukizidi unakuwa kama mtoto btw kuna stage flan ya maisha hakuipitia ngoja afanye uzeeni maana alikuwa mpishi wa mabaharia
Acha naye huwezi lemutuz wewe ile number nyingine,jamaa huko very humble ukimwona live Ila ukipambana naye like this utachemka mkuu!,jamaa ana make money for this so it better you take you time kuliko kushindana naye Mimi huwa nasoma tu comment zake zinanichekesha sana!! Over
 
Mzee Funza umeuaaaaa hahaaaaa
 
Amabacho huelewi ni kuwa watu tunakuja kuangalia uzi wako kama vile wanakijiji ambavyo huwa wanaenda kuangalia 'kakakuona' akionekana mahali maana ni kitu adimu, cha kushangaza, so hukifuata wakitegemea maajabu, kulingana na uzee wako na unayoyafanya huna tofauti na kakakuona wa mjini ndio maana kila unachofanya na kujibu ni maajabu kwa watu wengi
 

why are you so bitter? It his life..leave him alone..hayo ndo maisha alojichagulia #DontBother
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…