Le Mutuz aenda kumsalimia Shose Sinare gerezani

Status
Not open for further replies.
Napenda Me Mutuz mpaka naumwaa jamaa yupoo Smart saaana hayaa Wanafikiii madongooo yenuu.hayoo haoo..You know the Le Tamkos!!!

- HAHAHAHAHAH wallahi nakupenda mpaka NAUMWAZZZ U know hahahahahahah

le SMELLY BUFFOOON aka LE MUTUZ NATION
 

- Huyo ni mama yangu mzazi proud of her cause kama sio yeye nisingekuwepo hapa Duniani, lets say anaishi kwenye matope lakini tizama ninampenda mpaka nimeeenda kumuona, pole yako wewe mama yako anakufukuza na mume wa mtu huoni ni laana unaishi nayo ndio maana unahangaika kama kuku anayetaka kutaga mayai, hahahahaha hahaahahahah

- Baba yangu umesahau alivyokuwa anaktaa kukaa hotelini anakuja kukaa nyumbani kwangu alikuwa anakufuata wewe? hahahahaha pole sana wewe unaisoma namba na subiri sasa siku nitakapofunga ndoa ndio utashika adabu maana kitakuwa kiama chako, maana so far unadhani ninaweza kukurudia hahahahaha laana ya mama inakutesa hiyo, na laana ya mbabu mtoto wa Mchungaji wa kwanza mbeya unaenda kubadili kuwa Muisilamu ili uwe mke wa pili, laaana hiyo mamama kizeeee hahahahahaha

le SMELLY BUFFOOOON aka LE MUTUZ NATION
 
good mr..
 
- HAHAHAHAHAH wallahi nakupenda mpaka NAUMWAZZZ U know hahahahahahah

le SMELLY BUFFOOON aka LE MUTUZ NATION
Smelly bufoon aliyemtelekeza mama yake kijijini tunduma kisa kichaa na watoto kwa sababu ya matunzo hivi huoni aibu hadi leo zaidi ya miaka 20 hako kakibanda chako hujakimaliza kwanini usimwambie boss wako Davis Mosha au hata ukaombe msaada kwa kina Ghalib wakusaidie kumalizia kujenga hahaha babu ovyoo.
 

- HIYO nyumba ambayo ulitaka kuibadili title uichukue kwa siri mpaka nilipoenda Ardhi na kukuta madudu yako, kwanza ni yangu sio yako na pili siiihitaji najenga nyumba yangu mpya itakapokuwa tayari utaiona hapo nataka kubomoa hiyo nyumba libaki Shamba tu!!. hahahahaa ila the bottomline nyumba ni yangu sio yako haikuhusu hahahahahahahahahah

le SMELLY BUFFOOON aka LE MUTUZ NATION
 
uzuri wako le mutuz unajibu kwa kishindo..u know good bro..le mawazo yangu tu...
 
Na mama yako wa kambo nayr amefukuzwa kazi ya ukuu wa mkoa kwa uongo
Hahaha pole sana na nakupa pole nyengine mama yako wa kambo amefukuzwa kazi kwa kudanganya sasa hivi ukuu wa mkoa hana tena poleni saaana kumbe uongo uko ndani ya ukoo wenu enhe hahaha.
 





- hahahahahahaha nipo ofisini kwangu ninajiajiri sijajiriwi na mtu hahahahahahaha pole sana mnaoajiriwa

le SMELLY BUFFOOON aka LE MUTUZ NATION
 
- HAHAHA hahahahahahah salute U know tupo pamoja, bi kizee alidhani maisha yangu yatasimama sasa anashangaa yanaendelea analia lia huku hahahahahahahahaha anaisoma namba U know hahahahaha

le Mutuz
Mkuu poleni sana familia ya Malechela kwa kuficha riport kwa Mama yako Anna Kilango!! Kumbe na yeye ni jipu.
 
nahisi kwa style hii hatutafika mwisho watz kuna vitu vingine muhimu tujadili lakin si kuendelea kumponda huyu le mutuz
 
hahahahahaaaaaaaa nabaki nacheka tu maana naona kila kukicha mnamsakama Le-mutuz sijui kawakosea nini jamani

katika hiyo african swahili radio // TV media mniwekee kipindi cha UFUNDAJI kwani mm ni mfundaji originalee hahahahaaa
 
Mkuu poleni sana familia ya Malechela kwa kuficha riport kwa Mama yako Anna Kilango!! Kumbe na yeye ni jipu.




- Ahsante sana ila mimi siajiriwi na mtu ninajiajiri mwenyewe, jana nimerudi Nairobi kikazi weekend hii naruka tena South Africa kikazi na nikirudi narudi Dubai tena kikazi, so pole sana ila mimi sijaajiriwa na mtu ninajiajiri mwenyewe na I hope tutajifunza umuhimu wa kujiajiri kuliko kutegemea kuajiriwa maana Sheria ni msumeno, pole sana mkuu hahahahahahaha

le Mutuz
 
Kaka lemutuz ni zoo inayotembea kwa hiyo lazima watu wamshangae na kumpigia makofi

- so ulikuwa umeolewa na zoo? Kuhangaika kwako kote kutafuta sympathy humu ni kwa sababu ya zoo? na wewe ni nini sasa kama sio zoo? hahahahahahahahaha

le SMELLY BUFFOOON hahahahahahaha
 
nahisi kwa style hii hatutafika mwisho watz kuna vitu vingine muhimu tujadili lakin si kuendelea kumponda huyu le mutuz

- boss usichelewa wananisaidia sana kuwa maarufu tizama hii thread imeshapitiwa na viewers 19,000 ndio maana ninazidi kuvuta pesa honestly I love this sasa ukisema hivi wataacha umaarufu wangu utapungua mkuu hahahahahahah

le Mutuz
 
- so ulikuwa umeolewa na zoo? Kuhangaika kwako kote kutafuta sympathy humu ni kwa sababu ya zoo? na wewe ni nini sasa kama sio zoo? hahahahahahahahaha

le SMELLY BUFFOOON hahahahahahaha
Hahaha hebu bwana chakubimbi zoo hebu fanya ukampe pole mama ako kama ile siku uliyompongeza haha she is realy in need of ur comfort haha magufuli kiboko anatumbua hadi mke wa waziri mkuu,pole bado unafikiria mimi ni xwife wako tuu huwezi kufikiria kama kweli mimi ni xwife wako na tumeishi muda mrefu hadi ulitaka kunywa sumu haha si ningekuwa nina siri zako nyingi tu ambazo zingekuwa zimeshalick kwenye mitandao ,mfano suala la umri wako lemutuz unalifanya siri sana ingekuwa kweli mimi ni xwife wako si ningekuwa tayari nimeshascreen shot hata copy ya passport yako or licence and other documents kuprove that u r over 55yrs haha,pls reason kabla ya kumtukana mama watoto wako.
 
Hii jukwaa my brother Lemutuz inakuwa jeee Na My X wakoo..au anataka umrudieee unajuaaa wanasemaga ukiona MTU.mliachanaga then Anakuongeleaa saana ujue Anakupenda..What the hell is this from this Woman..you know!!!!Unatoaaa Siriii Zoote tunazijuaaa unachekeshaaa Wewe mdada Muache Kaka yangu Alone
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…