Le Mutuz amuonyesha baby wake

Status
Not open for further replies.
Nahisi ndo huyu super babes msomi tena mwanasheria

Mmh!! Na hao wakina january makamba, ridhiwani na mohamed dewji wangekuwa wana mashauzi kama ya huyu babu yangu apa sijui ingekuwaje, naona tungekufa na presha khaa!!
 
saluti kwako .. ingawa kwanini huyu mchizi akifanya kitu chochote watu wanamind sana .. au kwasababu mtoto wa mheshimiwa ..
 
saluti kwako .. ingawa kwanini huyu mchizi akifanya kitu chochote watu wanamind sana .. au kwasababu mtoto wa mheshimiwa ..

You know bacause Le Mutuz is ze baharia you know and le millionaire and all bebez you know love Le Mutuz.
Ze mburulaz jelous you know.
 
saluti kwako .. ingawa kwanini huyu mchizi akifanya kitu chochote watu wanamind sana .. au kwasababu mtoto wa mheshimiwa ..

Awa uzao wao ulipigwa laana na mzee mchonga... Hapo alipo ana mpk cheti cha mirembe.
 
Mhh. Hyo comment nimecheka sana. Broken english, utadhani hakuwahi kubeba box.
 
- Hasara anayo baba yako kuza mtoto anayeingia kwenye mtandao kwa majina ya bandia na kutukana watu asiowajua na wenye elimu kuliko wewe for that baba yako lazima anaumwa kwa huzuni U know!!

Le Mutuz
Babangu anajivunia kijana wake nina master na babangu hakuwa kiongozi sasa wewe babako akimuona mtoto wa mwinyi au watoto wa kawawa anajisikiaje ahahahahahahaha,ungezaliwa kwenye familia duni ungekuwaje,umeshindwa kutumia fursa ahahahahahahahahahah
 
- Salute man that wasap U know umemuona my baby U know hahahahahahaha I love it!!, afu amerudi Chuo kufanya Masters eti hapa wangapi wanazo au ni balaha bla bala tu hapa hahahaha


Le Mutuz


Acha mambo ya shombo wewe unajitapa unazo halafu baby wako anakupa hela ya mafuta!!!!

we kima unatia aibu Sana wenzio Wa umri wako sahv wanaandaa maisha ya kustaafu na huku mitaani tunawapa heshima Kama wazee wabusara na washauri wetu we pakashume umekazana na mambo ya kijinga jinga Kama tutusa

badilika we babu unaboa sana
 

inashangaza sana huyu jamaa hana tofauti na kina diva,sintah,mbuta nanga na mange kimambi, tofauti zao ni jinsia tu na umri, maana yeye ni mzee sana kufanya huu upuuzi, anamuaibisha mzee wake tu, au mzee wake ndo kashatoa kafara maana huyu mtu sio bure ipo namna apa
 


Hilo tutusa tu wenzie Wa umri wake washajukuu yeye anahainga na bebs kinyaa tupu hapo
 

Mpwa wangu huyo ni mwana CCM mwenzio ujue!!!!
 
Haijalishi mpwa hili tutusa linatia kinyaa hata wanaCCM wengine wanamdharau sana

Anaboa sana yeye mwenyewe anajiona bado mtoto,mbona sijasikia watoto wa Msuya,Mwinyi,Mkapa,Sumaye,Lowassa,Nyerere, Ali Juma,Shein,Karume ,Warioba,Sokoine,Salim Ahmed Salim wana tabia za kama huyu mtoto wa Malecela.
 
Anaboa sana yeye mwenyewe anajiona bado mtoto,mbona sijasikia watoto wa Msuya,Mwinyi,Mkapa,Sumaye,Lowassa,Nyerere, Ali Juma,Shein,Karume ,Warioba,Sokoine,Salim Ahmed Salim wana tabia za kama huyu mtoto wa Malecela.

Mzee John Malecela anajuta kuchepuka!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…