Le Mutuz amuonyesha baby wake

Status
Not open for further replies.
Me naelewa basi ndugu yangu, me nasikiaga tu mchumba wangu ni lawyer daily

Uzee wote huo 54 bado anatafuta wachumba? Si atazaa wajukuu? Bora atafute ajuza akae nae ili wasipate watoto maana kwa 54 akizaa mtoto akiwa darasa la kwanza baba ana nyundo 60 ni kumpa shida tu mtoto!
 
Uzee wote huo 54 bado anatafuta wachumba? Si atazaa wajukuu? Bora atafute ajuza akae nae ili wasipate watoto maana kwa 54 akizaa mtoto akiwa darasa la kwanza baba ana nyundo 60 ni kumpa shida tu mtoto!

Na hapo bado anatafuta. So u never know atampata lini hahaha, probably akishafika 60
 

- hahahahaha nilikwambia una hasira ya kumuacha dada yako ila utanisoma mpaka mwisho wa maisha yako U know! hahahahaha

Le Big Show
 
Mmh!! Na hao wakina january makamba, ridhiwani na mohamed dewji wangekuwa wana mashauzi kama ya huyu babu yangu apa sijui ingekuwaje, naona tungekufa na presha khaa!!

- Halafu kwa taarifa yako huyo kwenye picha wala sio mwenyewe umeona kila thread ikiwa na Le Mutuz inavyobamba kwa comments na wingi wa pages ina maana ni Celebrity U know hahahahahahaha

Le Mutuz
 
Uzee wote huo 54 bado anatafuta wachumba? Si atazaa wajukuu? Bora atafute ajuza akae nae ili wasipate watoto maana kwa 54 akizaa mtoto akiwa darasa la kwanza baba ana nyundo 60 ni kumpa shida tu mtoto!

- Afadhali sina miaka 75 sina mke natafuta urais, U know hahahahahahahaha

Le Mutuz
 
Haijalishi mpwa hili tutusa linatia kinyaa hata wanaCCM wengine wanamdharau sana

- CCM wakinidharau nitajitoa siku hiyo hiyo wanajua jinsi Chadema wanavyonitaka na wewe unajua kwamba vizuri hilo, by the way huyo kwenye picha sio mbaby wangu mwenyewe yupo U know hahahahahaha

Le Mutuz
 
Mzee John Malecela anajuta kuchepuka!

- yale yale ya mlevi kuamini wengine wote ni walevi kama yeye, baba yako alichepuka nini Muandishi wa Habari wa Rais Lowassa mtarajiwa? hahahahah

- Wengine siwezi kuwajibu maana mmeandika nonsense ila it is good for me yaani publicity maana hii inaanza kwenda page 4 sasa kama mnacheza muziki wangu so lets go!!

Le Mutuz
 
Babangu anajivunia kijana wake nina master na babangu hakuwa kiongozi sasa wewe babako akimuona mtoto wa mwinyi au watoto wa kawawa anajisikiaje ahahahahahahaha,ungezaliwa kwenye familia duni ungekuwaje,umeshindwa kutumia fursa ahahahahahahahahahah

- Kila binadam na maisha yake ninamshukuru sana Mungu kwamba I make money I live my life na nimeweza kutengeza my ID kwa Public as Le Mutuz Big Show, I live my life and I am very happy just imagine ningekuwa mbunge kukaa Dodoma wiki nzima wewe kweli unaamini mimi naweza kukaa Dodoma Wiki nzima kwenye bunge?

- Hao wote uliowataja tunaheshimiana tunafahamiana sijawahi kumuomba mtu pesa ninazo zangu, na nina biashara zangu hapa mjini yaani I am kool with my self U know poleni mnaokaa pembeni na kulia lia mtalia sana U know na by the way huyo kwenye picha sio baby wangu yupo mwenyewe ila kama kawaida huwa ninawachezesha muziki wangu as much as I want U know!!

Le Mutuz
 
Una mambo kweli ur looking for publicity, the way people are taking about u ndo wanazidi kuku brand zaidi,lkn hawajui ngoja page zizidi kuongezeka tu!
 

Ndugu yangu ni ukweli mtupu unatia aibu,umri wako hauendani na akili yako! inafika sehemu mimi ambaye wewe ni sawa na baba kwa umri naona aibu,unanisikitisha sana
 
Una mambo kweli ur looking for publicity, the way people are taking about u ndo wanazidi kuku brand zaidi,lkn hawajui ngoja page zizidi kuongezeka tu!

- The master of politics Zitto ndiye aliyenifundisha kwamba publicity is publicity it is good it does not matter inakujaje, haiwezekani mtu kichaa akajaza pages kila siku hapa JF, ndio maana wananifurihisha sana halafu for their info hata huyu mbebez wangu nimempata kutokana na yeye kunisoma sana hapa JF infact mimi nilishasahau hii thread yeye ndiye amenikumbusha leo asubuhi akiwa anacheka sana U know!!

Le Mutuz
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…