Le Mutuz amuopoa Zari?

Mtoto mkali kwa kila kitu kuanzia sura na shepu, Pesa anayo sio wengine wamekalia umbea tu vibarazani huku wanasubiri kuhongwa. Big up Zari!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

Samahani hivi huyu Zari ni nani? Nani kabila gani naona watu wanamsifia sana
 


Zari ni Best Friend wa sinta kwa Mujibu wa sinta, sinta ni Hawara wa LE MUTUZ na pia sinta ana Mimba ya Lemutuz, Labda kila wakiwa pamoja wanapanga mipango ya baby shower ya sinta, Nina uhakika Le mutuz na minyanya pensi yake mtoto mkarez kama zari amuwezi ataishia kwa kina Sinta tu akizidi Sauda Mwilima ndio Level zake
 
Samahani hivi huyu Zari ni nani? Nani kabila gani naona watu wanamsifia sana

Mwnamuziki na mjasiriamali kutoka Uganda.kiufupi ni mrembo sana na mwanamuziki mwenye pesa kuliko mwanamzki yeyote wa KIKE east africa
 
Mwnamuziki na mjasiriamali kutoka Uganda.kiufupi ni mrembo sana na mwanamuziki mwenye pesa kuliko mwanamzki yeyote wa KIKE east africa

Asante kwa majibu mazuri ya nyongeza,Kweli nimemuona Ista dah kweli anapesa hongera zake bidada
 
Billionea!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 

- ha! HA! HA! HA! Ha LE MBURULAZZZZZ MBONA HUKUSEMA LEVEL YAKO? ha! ha1 ha! ha! by the way Super Zari anakuja tena next month so mtachonga mpaka mwisho wa Dunia, usyoyaweza tuachie tunaoyaweza kaa pembeni uchonge wembe ni ule ule tu kudadeki!!

- We had a lot of fun Jumamosi at Kempisk Hotel na kesho yake at Double Tree Hilton, sasa anakuja tena ni Zanzibar ok!!

Le Mutuz
 

Du bi shost umekuja kunisuta...kha Nimeadhirika mpaka nasutwa na mburula le mutuz...anyway mbona umepanick au kweli umetikisa nyavu za sinta Mzee wa manyanya pens, usipanick Tuambie tukusaidie zawadi za baby shower oooops nimesahau unakaribia kumuoa yule mbebs wa ukweli vp lkn vikao vya harusi na ma bilionea wenzako vimefikia wapi....

P.S super zali umuwezi najua ww ni mzee wa kushika pembe I Bet kuna kigogo utakuwa unamshikia mapembe...FULLSTOP.
 

- Kwenye maisha kuna wafanyishaji wa kweli na wapiga kelele ila huwa hatusikilizi mburulazzzz tunasonga mbelezzzz, wewe piga kelele zako za mlango sisi tunaendelea ndio kwanza nimerudi vacation wangu na mwendo ni ule ule tu hakuna kuangalia nyuma wewe ni le mburulazzz haya mambo huyawezi tuachie tunaoweza!!

- Ila umezungumzia sana level yangu lakini hukusema yako le mburulazzzz why? ha1 ha! au huna level? ha1 ha! ha!

Le Mutuz
 

I have got PHD in biomedical science from victoria University of Wellington! What about u sir? Usije kuwa walw wanaovaa majoho kwenye studio za wanaigeria na kupiga picha wana pretend kama wamegraduate, alafu wananadi elimu zao kwenye kila habari wanayoiongelea...
BY THE WAY HOW IS YOUR OTHER FAMILY IB USA, YOUR X, MBEBS WA UKWELI AND YOUR KIDS?
 

- I am le Big show big celebrity ndio maana humu kuna thread nyingi sana za kunihusu na wewe kuja kuchangia coz I am a big star hiyo tu inatosha, I was divorced 3 years ago so I am single and having fun with my life, okeeeee!! ha! ha!

Le Big Show
 
- I am le Big show big celebrity ndio maana humu kuna thread nyingi sana za kunihusu na wewe kuja kuchangia coz I am a big star hiyo tu inatosha, I was divorced 3 years ago so I am single and having fun with my life, okeeeee!! ha! ha!

Le Big Show

Wewe na celebrity mwenzio mbuta nanga mnaongoza kwa thread....!
 
Wewe na celebrity mwenzio mbuta nanga mnaongoza kwa thread....!

- Kubali wangu wewe sio Celebrity na hata ukiandikwa hapa hakuna wa kukusoma, nenda humu uone zipo thread zangu ngapi wacha kelele za mlango, Zari huwezi kumsogelea maana wewe sio Celebrity sasa unalia nini? Mimi sio Mungu aliyekuumba huna talent hata moja kudadeki mnajaza tu Dunia yaani hata ukifa leo hakuna wa kukukumbuka ndio maana utaishia kulia lia tu hapa sisi tutaendelea kuandika historia mtuwangu kelele zako za ml;ango ni bure tupu ok!!

Le Big Show
 
Kujua Mapenzi ukubwani shida sana!
 

Najua mungu kakuumba wewe na talent ya kuvaa ma nyanya pensi na mbuta nanga ya kuvaa michupi chupi hadharani...CONGRATULATION FOR THAT BRUV...
P.S Kwa huyo takataka bombay zari unaona bahati kumsogelea je ungewasogelea kina ophray winfrey ma self made millionaire si tungekoma anyway
#KeepLickinZarisAss
 

kwa hiyo we zuzu ni celebrity
 
Kujua Mapenzi ukubwani shida sana!

- Wewe huna FACTS waulize wanaonijua nimeanza kwenda majuu nikiwa 15, nimezunguka 90% ya dunia mabebz nimeanza nao loong time ago wewe hujaja mjini na mwenge le mburulazzz sema huna access ndio maana unalia lia so kaa pembeni utaisoma tu!!

Le Mutuz
 

- Wewe utabakia kelele za mlango watu ndani tunalala, wewe sio Celebirty kama mimi na wala hakuna anyekujua halafu hapa unaingia kwa jina fake unaogopa ni muoga muoga sasa utawaweza vipi kina Zari eti linataja kina Oprah, mimi angalau nimewahi kuishi naye nchi moja wewe je, le mburulazzz tuliza boli zubiri picha za the next party Zari anakuja tena next month le mburulazzz kama wewe mtajibeba tu na utaisoma hapa mpaka ufe le mburulazzz!! ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…