Le Mutuz amuopoa Zari?

Acha utoto kubwa jinga wewe umri kubwa kazi kushinda na vitoto

Bora ukabebe boksi USA unamzalilisha mzee Malecela.

- ha! ha! ha! umeisikia habari ya Instagram Party au vipi mkuu I mean uliza habare ya mujini bongo kaka ni Le Mutuz Big Show U know, ha! ha! ha! ha!

- Ijumaaa Bukoba kwenye Fiesta U know Jumamosi nilikuwa Mwanza le bata za bongo ubatan, utaisoma tu!! ha! ha1 ha! tena hapa hapa!!


Le Mutuz
 

Ungekua na uwezo ungetembelea Noah chakavu?

Umechanganyikiwa lkini hujijui kubwa jinga we
 
Ungekua na uwezo ungetembelea Noah chakavu?

Umechanganyikiwa lkini hujijui kubwa jinga we

- ha! ha! ha! ha! unasema wananchi wote wa Tanzania wana uwezo wa kumiliki Noah chakavu kama yangu kaka? ha1 ha! ha! ha!, kaka hebu kaa chini ujiulize aliyechanganyikiwa hapa ni nani hasa mimi Le Mutuz Big Show ambaye sikujui au wewe unayeingia kwa jina la bandia hapa na unanijua mpaka gari langu, mpaka na sauti ya muziki wa gari langu kaka unasema mimi na wewe nani amechanganyikiwa hapa? ha! ha! ha! ha! ha!

- Yaani Mwanaume mzima unatembea bila kazi mjini kazi kupima gari la nani lina muziki mkubwa na la nani lina mzuiki mdogo halafu unasema hujachanganyikiwa, haya kaka! ha! ha! ha! ha!

Le Big Show
 

Akili za kiwango kipi ambazo unadai mom sina maana hata kuku ana akili....JWT ni nini na unaamini kila mtu anajua maana yake? Unafanya utafiti wa kisayansi na kugundua kwa kila siku watu 20 wanachungulia blog yako? Dah jamani tuwe makini sana tunapopeleka watoto kwenda kusoma nchi za nje...hebu ona madhara yake sasa,..pole mzee Malecela...anyway km utakuwa na watoto wengine zaidi ya hili pipa basi ni Faraja sana kwako....kwenda kucheza music Fiesta Mwanza napo unaona ni bonge la deal..
 

- ha! ha! ha! umesema mwenyewe mwanaume mzima kazi yako ni kupita pita mjini na kusikiliza gari la nani lina sauti kubwa ya muziki na la nani lina sauti unayotaka wewe, halafu unaandika haya kwa kutumia jina la bandia and then unasema wewe una akili nyingi sana sasa kaka huoni kwamba unajinasa mwenyewe kwamba ni mburulazzzzz numbe one!! ha! ha! ha!

- Wewe umesikia ni Mwanaume gani mtumzima anyefanya kama wewe kuzunguka mjini kusikiliza sauti za magari ya wasiomjua na kuja kuandika matokeo yake hapa JF kwa kutumia majina ya bandia unasema wewe ni genous? ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
Haya ndugu katibu mwenezi wa chama kata ya baharini...genous ni nini? Kubwa jinga liitwalo W J Malecela
 
Haya ndugu katibu mwenezi wa chama kata ya baharini...genous ni nini? Kubwa jinga liitwalo W J Malecela

Huyo jamaa tulikuaga naye USA akiendesha migari ya taka taka..

Akakimbia majukumu ya kutunza watoto karudi bongo kawa taahira kabisa MTU Wa 50s Ana mambo ya kitoto
 
Huyo jamaa tulikuaga naye USA akiendesha migari ya taka taka..

Akakimbia majukumu ya kutunza watoto karudi bongo kawa taahira kabisa MTU Wa 50s Ana mambo ya kitoto

Ahahaaaaa kumbe sio mtu wa ku-make conversation nae....
 
Haya ndugu katibu mwenezi wa chama kata ya baharini...genous ni nini? Kubwa jinga liitwalo W J Malecela

- Genos ni mwanaume mtumzima mwenye akili nyingi sana anyezunguka mitaani Mjini DaR huku akisikilizia gari la nani lina sauti anayotaka na la nani lina sauti aisyoitaka na kuja kulalalmikia huku JF, ha1 ha! ha! ha! kaka unanivunja sana mbavu zangu!!

Le Mutuz
 
Huyo jamaa tulikuaga naye USA akiendesha migari ya taka taka..

Akakimbia majukumu ya kutunza watoto karudi bongo kawa taahira kabisa MTU Wa 50s Ana mambo ya kitoto

- Kweli kaka afadhali niwe mtoto maana at my age kufikia kufungua Radio na TV ni akili za kitoto labda wewe mwenye akili za kikubwa tumabie unafanya nini bongo U know ha1 ha! ha! ha!

Le Mutuz
 

Huna lolote kumbe nasikia ww ni chakla ya wanaume bwana....
 
Huna lolote kumbe nasikia ww ni chakla ya wanaume bwana....

- mBONA UNAJIVUA NGUO MWENYEWE kaka kumbe ni chakla? ha1 ha! ha! ha! ha! ha! sasa inaanza ku make a sense maana sio rahisi Mwanaume mtumzima kupita mjini akisikilizia sauti za muziki wa magari ya watu na kuja kulalamikia huku kwa majina ya bandia now it make a lot of sense of who you are ha1 ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
- Kweli kaka afadhali niwe mtoto maana at my age kufikia kufungua Radio na TV ni akili za kitoto labda wewe mwenye akili za kikubwa tumabie unafanya nini bongo U know ha1 ha! ha! ha!

Le Mutuz

TV na radio station umiliki wewe? Kwa kipi? Hahha

Utaishia kulamba miguu ya wenye hela na utaishi Sana kwenu kima wewe kazi kutukana wabeba boksi wakati we mwenyewe lofa tu...

Utachezewa Sana na watoto Wa kike hapa mjini wakidhani ni same sex wao
 
TV na radio station umiliki wewe? Kwa kipi? Hahha

Utaishia kulamba miguu ya wenye hela na utaishi Sana kwenu kima wewe kazi kutukana wabeba boksi wakati we mwenyewe lofa tu...

Utachezewa Sana na watoto Wa kike hapa mjini wakidhani ni same sex wao

- ha! ha! ha! ha! ha! ha! kwenye Radio na TV nimewekeza na ni business patner na Delina, naona una tabia za kulamba miguu watu so unaamini wengine wote ni kama wewe, ndio tabia za walioshindwa the game wana maneno kama yako foolish, yes nimeishi kwenye nyumba ya baba yangu baada ya kurudi bongo kutoka nje, lakini now nina apartment mbili hapa town moja ninayoishi Mnaizmmoja na nyingine ya kununua hapa Kisutu kwenye jengo jipya la NHC yote haya in 3 years tu nilizorudi bongo,

- Mabebz unless wewe ni mmoja wa wale niliowahi kuwapitia, otherwise I am single mpaka nitakapo amua kuoa tena sivunji sheria kujirusha nao, ha! ha! ha! ha!, nilikuwa lofa nilipokuwa majuu ila sio sasa no way mamen I am fine!!

- AGAIN NI;LIKUWA LOFA NILIPOKUWA MAJUU SIO SASA I AM OK SINA NJAAA KAMA YAKO NDIO MAANA UNA HASIRA SANA MAANA UNA NJAAA MASIKINI YA MUNGU

Le Mutuz
 
Anazeekea vifuani mwa watu hata kibanda Hana

- Inaelekea una tabia za kuwekwa kwenye vifiua vya wanaume maana umeisema sana mwishoni hapa, ha! ha! ha! ha! so kama kawaida ya mlevi unadhani wengine wote ni kama wewe na hizo tabia, otherwise nina shamba na nyumba kubwa sana kwenye shamba langu la eko 5 kule Kinyerezi, na sasa 2 Apartments hapa mjini

- Waulize vizuri wanaonijua kaka, majuu ndio nilikuwa sina kibanda changu kutwa kupanga sio hapa bongo nipo sawa ni only in 3 years!! so get that right

le mutuz
 
Nyumba uzitoe wapi we kapuku? Umezoea kuishi kwa babako na kutwa kutembeza mtumbo wako kwa akina mosha na wengine kwenye ccm...

Wenzio ukigeuza kisogo wanakunanga Sana kwa mambo yako ya kike na ya kitoto..

Msura wako tu unaonesha Una akili za kitaahira ungekua USA ungeshatupwa kwenye rehab centers...

We kima huna lolote wala chochote zaidi ya huo mtumbo wako....
 

Niwaulize kina nani wakati nakujua fika? Tokea USA na ile migari yako ya taka nakufahamu vema mbaya zaidi unajifanya msomi wakati huna exposure kabisa...

Rudi kalee maana kule ulikimbia child support kwa ulofa wako...

Dume zima kushinda na mashosti mpaka salon kwao...

Halafu wanakwita nyuki Wa mashineni watoto wadogo wanaofaa wakuite babu wewe ndo shosti zako hapo mjini kima wewe...

Bichwa na tumbo kubwa akili kisoda...
 

- Kumbe ujumbe wangu umekupata saaafi sana kaka wacha chezeya wajinga wenzako hapa moto huwezi huna hiyo akili ya kushindana na mimi utaendelea kulia lia humu wenzako tunavuta pesa humu humu!1 ha! ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…