Le Mutuz ashindwa kuhudhuria mazishi ya Dkt. Mwele mkoani Dodoma

Pole mtoto wa hausiboi
Pole weye!! unae amini wa ndani kisiasa!! kumbe dingi kapigiwa na house boy!! kunako nguzo zizini faster tu kitu!!..tena wenzenu wajanja anajifanya anasuuza vyombo kuumbe kuna kajamaa kwenye makuti! kanamaliza mchezo!
 
Nimekuta earlier kafuta, alimsema nani ndio anamtuma Mange kuandika Instagram?


Alimsema Mdogo wake Mwele Ceche, Anamtishia Cece atatolewa kwenye urithi 🤣🤣🤣🤣🤣kwa Kua cece na Marehemu walikua wanamtuma Mange awatukane

Mange watu wote aliowakutana ametumwa na Marehemu, Mange akili zake zinamtuma kutukana

Watoto wa Nje ni shida lizee la 69+++ anacha kufanya kazi anawaza urithi wa Mali zilizotafutwa na mke wa ndoa Mzee Malechela

Analia kwa nini hakutajwa kwa risala, atajwe kama nani asubili baba yake atatajwa wale walijitaja mwele amezaliwa wa ngapi kwenye Tumbo la baba Yao na mama yao

 
Huyu babu ndio nimegundua kichwani hana akili ni mwehu...umri wake sio wakujibu utumbo mtandaoni istoshe mambo ya familia asingejibu akae kimya tu kwani anapungukiwa na nini,jamaa ni kubwa jinga kabisa
 

Duh! Ndio maana kaitoa.
Ila Seche aliendesha msiba vizuri sana, miaka hii hata watoto wa Kike wanasimamia vya familia na wanaweza kuliko wakiume wengi.

Hayo ameandika na pale ni kwakina Seche, duh!!!! Angeacha post hiyo kama ni ukweli.
 
acheni porojo za JF,watoto tu wa Mengi wanagombea urithi sembuse Le mutuz!!! hiyo ni haki yake hata kama amefanya hivo
mimi hata nije kuwa na pesa nyingi kiasi gani ila urithi nachukua sio kwa kuutumia ila kwa sababu ni haki yangu
Le mutuz msimsimange ki hivo bana jamaa anakula milo yote kila siku, anavaa na anasukuma Le Noaz so amepambana na maisha kiasi fulani,watu wangapi mpaka wamestafu serikalini hawana chochote
 
Hata mimi nilishangaa sana kumuona pale kwenye mjengo wake wa kifahari karibia na mnazi mmoja wakati shughuli ikiendelea.

Ila to be honest anaonekana kabisa ni mgonjwa.
Si mange moumbafu Yule watanzania wanamuamini kwa uongo wake na umbea wake mpk jinaume zima linadownlod app. Ya umbea kmmk zake
 
Watu tubadilike San kupitia kwa lemutuz [emoji3]
 
Kama kweli wamemdharau lebabz bas hat na mm siendi
 
Kumbe Kuna upupu umefanyika kumdhakilisha ze super branda hapn haikubaliki mwele Kama ameusikaa kumsalilisha lemutu amekozea
 
Lembebez ni wa kutegeshewa mwanamke, hacheni kumbebesha Marehemu mzigo wa dhambi zisizo zake

Lembebez anavyojiona kidume kwa kupost ana kiss na mabebez ategeshewe na Nani na hili iweje
 

Husifananishe watoto wa Mengi na utopolo mwingine

Watoto wa Mengi ni baba na mama yao wametafuta zile Mali na wao wamekua wakifanya kazi kwenye hizo company maisha Yao yote ni sawa sawa na watoto wa Bakhresa au wakina Dewji

Lemutuz ni mtoto wa nje ya ndoa , wakati mama Yao Wakina Mwele anatafuta na Mzee Malechela Le mbebez alikua baharia majuu
 
Lembebez ni wa kutegeshewa mwanamke, hacheni kumbebesha Marehemu mzigo wa dhambi zisizo zake

Lembebez anavyojiona kidume kwa kupost ana kiss na mabebez ategeshewe na Nani na hili iweje
Le super brand alifuatwa na demu akaona demu kazimika na swaga za dauni tauni yu no,kumbe demu yupo kwenye mission katumwa na mange,demu kampa le super brand game kama yote,wakati Le kitumbo anatoka bafuni ndio demu aka record ile clip
 
Le super brand alifuatwa na demu akaona demu kazimika na swaga za dauni tauni yu no,kumbe demu yupo kwenye mission katumwa na mange,demu kampa le super brand game kama yote,wakati Le kitumbo anatoka bafuni ndio demu aka record ile clip


Lembebez muongo muongo aliandika ya kwamba aliempiga picha ya kibamia alitumwa na x wake na Leo kakana Kua dr Mwele hajamchangia kwenda kutibiwa india .Day One alivyoona msiba una kick aliandika My super sister alinichangia na kuhakikisha anafatalia afya yangu kwa madaktari wote walionitibia kila wakati kwa simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…