Kwa hivyo wewe ni changudoa?? Umekuja kujiuza kwa great thinkers 😿😿😿😿Mbona wewe ni mdogo kama hiyo avatar ni wewe tafuta kazi ufanye mdogo wangu Dodoma tu natoa house girls wengi fanya hata hiyo huku sisi ni great thinkers hatushindani kudanga hatushindani kwa uzuri
Huku sio instagram wala tik tok huku tuna challenge kwenye issue za msingi za Taifa let una ndio maana hatuoni umuhimu wa picha zetu kwa Kua Kua hatujiuzi
CD siyo dhambi walikuwepo tangu zama!! wapo na watakuwepo!! ...... kasome upya!! anaza mwanzo!! ujue Bibi yake Yesu alikuwa nani?? Magdalena mwanamke pekee aliyekuwa karibu na Yesu alikuwa CD mwenye hela!!.......
Na huyo huyo CD ndiye aliye kuwa wa kwanza Kumuona Yesu alivo fufuka!!..... Sikia great thinker wa Usawz kwenu huko!! Mammy hawaniwezi! tutaonana wapi kwanza! au nikutupie kapicha uone nilipo??enhee!! unataka??
Ni kweli kabisa!!! nyie Wenye sura ngumu ndiyo mna challenge issue za msingi wa maatizo yenu!..amabayo hayaishi siku baada ya siku...lkn sie tuna kula kiubweteee!!...na Me'' Nikwambie siri sasa best angu??? ni kuwa ...
Me wa siku hizi wajanja sana wana taka sura Bomba km zetu izi!! ili wafyatue watoto Bomba wasiwe mzigo pale nyumbani!! make mashamba hakuna ebu nkuulize tu!!.... shoga Mjini utalima kunako Lami???
Me ukioa ke'' Bomba km mie!! hawa lali njaa!! uongo!! ....popote pale tunapendwa na watu wooote! ili mradi tu umuwekee heshima yake!...fikiria mume akilazwa wardin na ana mke mwenye sura km yangu hii!! ikaenda kumuona wardin,
kwa kitendo huki Madaktari woooote! vijana kwa wazeee! Manesi woooote!! na wagonjwa majirani wooote, misaada kwa sana na watavuta usikivu kwangu wanione tu kwa karibu!! je Mumeo hajapona kiubwete bado??...hujamsaidia na kujisaidi weye??
kwa sura hii tu yangu!! hata mtaani unakuwa maarufu na unajulikana faster Uongo!!....makanisani huko mume atajulikana ni wa mume wa samaki!! najua kana kuuma lkn jikubali tu!! km vepe njoo tushindane in box tuone nani Bomba zaidi!!
Usiogope km kweli wewe ni mwanamke wa shoka njoo tushindane in box, km vepe watu me watuamulie hukohuko nani zaidi!!! njoooo!!...km kweli wewe ni mwanamke njooo!