Le mutuz awashukia wanaomlaumu kuhusu nyumba ya mama yake

Status
Not open for further replies.

Miiku

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
3,835
Reaction score
2,642
Wiliam amewaponda kuhusu wale wanaoikaindia nyumba ya mama yake , huku akiwataka waonyeshe za mama zao!
Kama zina hadhi ya kama ya mama le mutuzzz
 

Attachments

  • 1420914735045.jpg
    58.7 KB · Views: 11,039
at fifty mtu anaandika lugha ya namna hii, tena ni mtoto wa former PM, malezi bora kabisa... this is a shame to him, his family etc

huyu jamaa kwa lugha hii lazima atakua na direct link na ile Zeutamu kabisa

this is sad

Mpumbavu sana huyu jamaa
 
Last edited by a moderator:
at fifty mtu anaandika lugha ya namna hii, tena ni mtoto wa former PM, malezi bora kabisa... this is a shame to him, his family etc

huyu jamaa kwa lugha hii lazima atakua na direct link na ile Zeutamu kabisa

this is sad

Mpumbavu sana huyu jamaa

Sasa nimekubaliana na wale wanajitahidi kumrekebisha hapa jukwaani akina Matola, stata mzuka, Kim nana Muuza Sura na wengine endeleeni kumfunza
Huyu diaspora!!
 
Last edited by a moderator:
...katika watu mamburula ninao wafahamu huyu jamaa yupo ktk hiyo list, nashangaa kupoteza muda kujadili takataka hizi...
 
Last edited by a moderator:
Teheee..
King of social network @work
 
Kumbe huyu so uzao pamoja na kina Dr mwale ndio maana yuko hivi mweeh eeeh maana kina Dr mama yao alikufa kitambo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…