Le Mutuz case: Ubovu wa Sekta ya Afya Nchini

Le Mutuz case: Ubovu wa Sekta ya Afya Nchini

Ndio lemutuz alikuwa na shida ya moyo ila kuna kuna mambo yalichangia kifo chake.

1: lemutuz anaishi peke yake wenda alipodondoka walinzi walimuona muda umeenda, wenda angekuwa na mke angemkimbiza hata mhimbili na sio mnazi mmoja.
2: ex bf wangu alinifundisha huduma ya kwanza pale mtu anapo dondoka gafla na akasititiza kila mtu anatakiwa kujua hii huduma.
Mtu akidindoka gafla unatakiwa kuweka mikono miwili pale kifuani kwenye moyo na kumshutua kwa nguvu kuamsha mapigo ya moyo. Sasa wale walinzi hata kabla ya kumpekeka hospital ilibidi wajaribu hiyo huduma wenda angezinduka.
Miaka iliyopita nilikuwa natokea mjini nikashuka kituo kimoja nikakuta mmama kadondoka watu wamejaa pale eti wameagiza gari wampeleke hospital.

Moyo ukaniambia sogea pale uone nn kinaendelea nikakuta mmama kalala flat kabisa nikakuta mtu anampepea nikamwambia weka mikono miwili hapo kwenye kifua mpamp kwa nguvu alifanya hilo zoezi kama mara 7 hivi yule mama akatoa sauti mmmmm na kupumua kama mtu aliechoka na akatikisa mguu. Mpaka gari linakuja alikuwa anapumua wakampeleka hospital.

Jamani tunatakiwa kujua hizi huduma za kwanza ndogo ndo ingawa mwisho wa siku Mungu ndio muamuzi.

Lemutuz kuishi peke yake plus stress za mtoto wake kumtukana ndo maana kila siku alikuwa akienda batani may be alikuwa anapunguza stress. Coz angekuwa na mtu wa kumjali alipo kuwa huko batani angeulizwa mbona umechelewa kurudi? Uko wapi? Na alipofika hata angedondoka mkewe ndo angekuwa wa kwanza kujua mme wake hospital ipi inamfaa kutokana na tatizo lake.

Hakuna kitu kibaya kukosa mtu wa karibu wa kukujari.
Apumzike kwa amani maana aliishi maisha ya kusimangwa kisa mtoto wa mchepuko, kila siku yeye ni kuji defend as if alituma maombi azaliwe. Rip lemutuz.
 
Umeongea ukweli.
Pamoja na maisha ya lemutuz kuwa na historia ya sintofahamu lakini hatupaswi kufurahia kifo chake. Aliishi maisha yake japo mengine yaliumiza wengine.

Hapo kituo cha afya kwa mujibu wa wasemaji, palikuwa hamna wahudumu, pengine hata kutokuwa na hiyo mashine wangemkimbiza muhimbili.

Tuseme huyu ni m Tanzania mmoja tu kwa umaarufu wake tumeweza kusikia taarifa zake.

Ni wangapi wanakufa huko mahospitalini kwa kukosa huduma muhimu?

Rest Well .
 
Naunga mkono Hoja, lkn je Le Mutuz alikuwa na mke? Kama alikuwa hana mke namna ya kifo chake kilivyotokea ni sahihi kabsa.
Sidhani km ufahamu wko uko sawasawa kutokuoa na kufa vinahusiana nini! So mtu akiwa kaoa akifa sio sahihi acheni chuki za kijinga
 
Acheni lawama sizizo na msingi

Kwani ni lemutuz pekee yake ndiyo Ana matatizo ya moyo

Kingine lazima muelewe mtu anapokuwa na tatizo lolote mwilini
Inategemea yeye mwenyewe anajisimamia vipi kwenye mambo ya matubabu yake

Je lemutuz alipokuwa na matatizo ya moyo,je alikuwa anahudhuria clinic yake,mambo ya medical checkup
Je alikuwa Ana tumia dawa zake na kufata masharti ya daktari ,kula nk

Hebu nyie patient sehemu za wataalam wa mambo ya cardiologist
Muone jinsi watu wanavyo hudhuria clinic zao

Ova
 
Ana hoja sema kashindwa kuiwasilisha, kea umri wa Lemutuz miaka 62 Jambo la muhimu kwake Ilikuwa ni kukaa karibu na watu na sio lazima awe mke/Mwanamke.
Nafikiri hakutaka kuishi kwenye mila na tamaduni zetu za kuishi kifamilia hata kama si mtoto au mke lakini mara nyingi ndugu wapo wengi wa kuweza kuishi nao, tena kama una uwezo ni raha sana kuchukua ndugu mmoja au wawili wakukulindia boma lako.

Hatari ya kuishi mwenyewe ndio kama hizo ukipata dharura ya shida ya kiafya unaweza kufa huku unajiona maana huna wakukuwahisha hospitali kwenye muda husika. Lakini wanasema kifo hakikosi sababu.
 
Kutokana na taarifa za tukio la kifo cha nguli wa mitandao ya kijamii nchini Ndugu William Malecela ajulikaye kama Le Mutuz.

Nini hatma ya sekta ya Afya nchini katika kuwa na uwezo wa kuwa na wataalamu wa magonjwa ya moyo na vifaa vya kukabiliana na magonjwa ya dhararu kama magonjwa ya moyo.katika kila kituo cha afya nchini hususani katika majiji makubwa nchini ikiwemo mji mkuu wa nchi(ndio ukeli wenyewe) kama Dar Es Salaam.

Inasemekana na kuthibitishwa na Le Mutus mwenyewe kuwa alikuwa anasumbuliwa na matatizo ya ugonjwa wa moyo na pia kuweza kupata kusafiri nje ya nchi kupata matibabu ya moyo nchini India na South Africa.

Habari za kifo cha William Malecela A.K,A Le Mutuz, zinasemekana alikutwa na aidha walinzi au majira kuwa ameanguka ghafla huku akiwa hoi bin taabani na kwa mshtuko wa walioweza kuwa eneo la tukio, na katika kutathmini haraka kutokana na eneo alipokutwa na akiishi, kituo kilicho karibu zaidi kwa kuweza kumpeleka kupata huduma ya matibabu haraka na ya dhararua ilikuwa ni Hospitali ya Mnazi Mmoja.

Katika kumbukumbu zangu za utotoni na kwa kuwa nilikulia katika jiji la Dar es Salaam, nimeshawahi kupelekwa kwenye Hospitali ya Mnazi Mmoja kupata huduma ya matibabu katika miaka ya 80 na kwa kweli , japo hiki kituo kipo katikati ya jiji la Dar es Salaam lakini hali ya mazingira na huduma ilikuwa inatolewa pale hasa ukizingatia ni kituo cha afya kinachomilikiwa na serikali, ilikuwa siyo ya kuridhisha kwa hata mimi na umri wangu kung.amua hivyo baada ya kukaa masaa kadhaa bila kuonwa na mtaalamu yeyeto wa afya, na baada kupata fursa, nilionwa na Nesi tu, ambayo alienda kumtafuta daktari, lakini alirudi na cheti kutoka kwa daktai ambaye hakuniona kinasema nipigwe sindano za PPF kutokana jeraha niliopata baada ya kuanguka na baiskeli.

Turudi sasa kwa Ndugu yetu LeMutuz, baada ya kukutwa katika hali aliyokuwa nayo, na uamuzi wa kutokana na eneo anapoishi, ikaonekane akimbizwe katika hii hospitali ya Mnazi Mmoja ilikuwa kama ni kwenda kuandikiwa cheti cha kifo, maana inasemakana baada ya kufikishwa ktuoni hapo, kulikuwa hakuna hata daktari yeyeto aling'amua kuwa mgonjwa kutokana na historia ya afya yake inawezekana amepatwa na Cardica arrest, ugonjwa ambao huduma yake kwanza ilitakiwa kuwa ni matumizi ya Defibrillator (kifaa kinachotumika kuamsha au kusahihisha mapigo ya moyo kwa kuchakachua hali ya afya ya moyo (automatically) kujiseti chenyewe ili kumchoma mngonjwa na nguvu ya umeme ili kurekebisha mwenendo wa mapigo ya moyo), hiki ni kifaa cha msingi kinachotakiwa kuwepo sio katika kila kituo cha afya, kwa wenzetu nchi zilizoendelea kipo kila sehemu hata sokoni, mahoteli makubwa na vituo vya mabasi au treni.

Je katika Hosptali ya Mnazi Mmoja walikuwa na hata na hiki kifaa?

Sasa tunaomba wana Jamii Forum ambao ni wataalumu wa afya yaani madaktari wa ukweli(no ameatures) wanaofanya kazi katika aidha huu mfumo wa sekta ya afya wa vituo vya serikali au binafsi watuaelimishe na kutufafanulia.

Je, kuna uwezekano kuwa kama kungekuwa na wataalamu na vifaa sahihi katika Hospitali ya Mnazi Mmoja katika siku ya tukio, kungewezesha kuyaokoa maisha ya Le Mutuz?

Bwana alitoa, bwana ametwaa, watu wa maskini wanakufa kila siku kwa mambi haya, we don't care anymore.
 
Ingawa wanasema alitabiri kifo chake
Lakini maradhi ya moyo huwa wanajua ni kusubiri mda tu
Kweli hakuna atakaeishi milele ila kuna maradhi huwa yanasumbua sana kwa tiba

Hugo Chavez alisema kawekewa sumu na kupata cancer na usa
Alipokuwa anakaribia kufa aliomba ma doctor wafanye juu chini asife wengine wakiwa wabobezi kutoka Cuba
Lakini wapi alikufa tu
Na wa kwetu alikuwa anasema hivi nikifa atakaenirithi ataendeleza?
Unafikiri alikuwa anasema kwa bahati mbaya ?
Alikuwa anajua fika
 
Kutokana na taarifa za tukio la kifo cha nguli wa mitandao ya kijamii nchini Ndugu William Malecela ajulikaye kama Le Mutuz.

Nini hatma ya sekta ya Afya nchini katika kuwa na uwezo wa kuwa na wataalamu wa magonjwa ya moyo na vifaa vya kukabiliana na magonjwa ya dhararu kama magonjwa ya moyo.katika kila kituo cha afya nchini hususani katika majiji makubwa nchini ikiwemo mji mkuu wa nchi(ndio ukeli wenyewe) kama Dar Es Salaam.

Inasemekana na kuthibitishwa na Le Mutus mwenyewe kuwa alikuwa anasumbuliwa na matatizo ya ugonjwa wa moyo na pia kuweza kupata kusafiri nje ya nchi kupata matibabu ya moyo nchini India na South Africa.

Habari za kifo cha William Malecela A.K,A Le Mutuz, zinasemekana alikutwa na aidha walinzi au majira kuwa ameanguka ghafla huku akiwa hoi bin taabani na kwa mshtuko wa walioweza kuwa eneo la tukio, na katika kutathmini haraka kutokana na eneo alipokutwa na akiishi, kituo kilicho karibu zaidi kwa kuweza kumpeleka kupata huduma ya matibabu haraka na ya dhararua ilikuwa ni Hospitali ya Mnazi Mmoja.

Katika kumbukumbu zangu za utotoni na kwa kuwa nilikulia katika jiji la Dar es Salaam, nimeshawahi kupelekwa kwenye Hospitali ya Mnazi Mmoja kupata huduma ya matibabu katika miaka ya 80 na kwa kweli , japo hiki kituo kipo katikati ya jiji la Dar es Salaam lakini hali ya mazingira na huduma ilikuwa inatolewa pale hasa ukizingatia ni kituo cha afya kinachomilikiwa na serikali, ilikuwa siyo ya kuridhisha kwa hata mimi na umri wangu kung.amua hivyo baada ya kukaa masaa kadhaa bila kuonwa na mtaalamu yeyeto wa afya, na baada kupata fursa, nilionwa na Nesi tu, ambayo alienda kumtafuta daktari, lakini alirudi na cheti kutoka kwa daktai ambaye hakuniona kinasema nipigwe sindano za PPF kutokana jeraha niliopata baada ya kuanguka na baiskeli.

Turudi sasa kwa Ndugu yetu LeMutuz, baada ya kukutwa katika hali aliyokuwa nayo, na uamuzi wa kutokana na eneo anapoishi, ikaonekane akimbizwe katika hii hospitali ya Mnazi Mmoja ilikuwa kama ni kwenda kuandikiwa cheti cha kifo, maana inasemakana baada ya kufikishwa ktuoni hapo, kulikuwa hakuna hata daktari yeyeto aling'amua kuwa mgonjwa kutokana na historia ya afya yake inawezekana amepatwa na Cardica arrest, ugonjwa ambao huduma yake kwanza ilitakiwa kuwa ni matumizi ya Defibrillator (kifaa kinachotumika kuamsha au kusahihisha mapigo ya moyo kwa kuchakachua hali ya afya ya moyo (automatically) kujiseti chenyewe ili kumchoma mngonjwa na nguvu ya umeme ili kurekebisha mwenendo wa mapigo ya moyo), hiki ni kifaa cha msingi kinachotakiwa kuwepo sio katika kila kituo cha afya, kwa wenzetu nchi zilizoendelea kipo kila sehemu hata sokoni, mahoteli makubwa na vituo vya mabasi au treni.

Je katika Hosptali ya Mnazi Mmoja walikuwa na hata na hiki kifaa?

Sasa tunaomba wana Jamii Forum ambao ni wataalumu wa afya yaani madaktari wa ukweli(no ameatures) wanaofanya kazi katika aidha huu mfumo wa sekta ya afya wa vituo vya serikali au binafsi watuaelimishe na kutufafanulia.

Je, kuna uwezekano kuwa kama kungekuwa na wataalamu na vifaa sahihi katika Hospitali ya Mnazi Mmoja katika siku ya tukio, kungewezesha kuyaokoa maisha ya Le Mutuz?

😎😎😎
 
Hospital zetu ni Duni sana.

Nimepita JUZI Muhimbili. Kitengo Cha BOMA na Miuwani.

Jengo limechakaa sanaaaaaaaa.
MIRANGO INAKWANGUA CHINI, NI KELELE MTINDO MMOJA..

VIONGOZI NI WEZI WA KUTUPWA.
YANI NI MAJIZI HASWA.
Boma na miuwani 😆 😆
 
Kiongozi muda wake Boma yee ulikua umefika, tusitafute mchawi nani Mungu angetaka Le mutuz awepo angekuwepo tu, so tumuombee apumzike kwa amani.
Kuwa na mawazo kama haya, yanachangia kwa asilimia kutokuwa na uwajibikaji kwa wattaluma wetu wa afya, na hivyo kusababisha vifo vingi vya wananchi kizembe ambapo vingeweza kuepukwa.
 
Dkt. Magufuli alikuwa mtu wa kufuatilia, vitu kama hivi angeweza kuagiza kila hospital viwepo ila sasa kama kile kifaa cha kupimia tu mambo ya fulani pale ocean road hospital kilichoamriwa kinunuliwe mpaka leo hawajanunua.
Aliviagiza kwenye hospitali ngapi?
 
Haya maneno ya mda kufika ni Africa Tu ..angekuwa Ulaya angekuwa mzima WA fya
Na kwanza huko ulaya na Us, mtu yeyeto akifa tena ghafla kama ndugu yetu Le Mutuz, hata kama ni kapuku, anawekwa kwa muda hospitalini kwa uchunguzi, yaani hii inajulikana sana nchi zote zilizoendelea, ndugu wakienda kumchukua, eti tunataka kuzika leo, wanarudishwa mpaka uchunguzi ujulikane alikufa na matatizo gani na je kulikuwa na jitahada za kumuokoa na pia kama ulikuwepo uwezekano kuweza kuokolewa lakini kuna sehemu uzembe ulifanyika, hapo wahusika lazima, wakajibu kesi kwa Coroner Judge.
Kwa system hii hakuna upuuzi na uzembe sio hapa kwetu watu wnakufa tu, halafu tunamsingizia Mungu kuwa muda wake umefika.
 
Mtu akidindoka gafla unatakiwa kuweka mikono miwili pale kifuani kwenye moyo na kumshutua kwa nguvu kuamsha mapigo ya moyo. Sasa wale walinzi hata kabla ya kumpekeka hospital ilibidi wajaribu hiyo huduma wenda angezinduka.
Miaka iliyopita nilikuwa natokea mjini nikashuka kituo kimoja nikakuta mmama kadondoka watu wamejaa pale eti wameagiza gari wampeleke hospital.

Moyo ukaniambia sogea pale uone nn kinaendelea nikakuta mmama kalala flat kabisa nikakuta mtu anampepea nikamwambia weka mikono miwili hapo kwenye kifua mpamp kwa nguvu alifanya hilo zoezi kama mara 7 hivi yule mama akatoa sauti mmmmm na kupumua kama mtu aliechoka na akatikisa mguu. Mpaka gari linakuja alikuwa anapumua wakampeleka hospital.
Safi sana
Fikiria hata nadhani pale hospitalini hakuna hata aliyejaribu au kuwa na akili ya kufikiria kufanya hivi
Kila mtu muda wake utafika, ni kweli lakini siyo kizembe kama hapa kwetu

Unajua nchi za Ulaya na US, jinsi mfumo unavyofanya kazi, mpaka imefikia, wananchi wanauhuru kuweka kwenye rekodi yake ya afya siku nikipata matatizo yanahitaji kunikoa kwa kutumia hii njia uliofanya inaiitwa CPR(Cardio Pulmonary Resucitation) au kutumia Defibrillator, anaweka saini msinifanyie hivi au msinikoe , niacheni nife. na hospitali inaheshimu huo uamuzi
 
Back
Top Bottom