luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Ndio lemutuz alikuwa na shida ya moyo ila kuna kuna mambo yalichangia kifo chake.
1: lemutuz anaishi peke yake wenda alipodondoka walinzi walimuona muda umeenda, wenda angekuwa na mke angemkimbiza hata mhimbili na sio mnazi mmoja.
2: ex bf wangu alinifundisha huduma ya kwanza pale mtu anapo dondoka gafla na akasititiza kila mtu anatakiwa kujua hii huduma.
Mtu akidindoka gafla unatakiwa kuweka mikono miwili pale kifuani kwenye moyo na kumshutua kwa nguvu kuamsha mapigo ya moyo. Sasa wale walinzi hata kabla ya kumpekeka hospital ilibidi wajaribu hiyo huduma wenda angezinduka.
Miaka iliyopita nilikuwa natokea mjini nikashuka kituo kimoja nikakuta mmama kadondoka watu wamejaa pale eti wameagiza gari wampeleke hospital.
Moyo ukaniambia sogea pale uone nn kinaendelea nikakuta mmama kalala flat kabisa nikakuta mtu anampepea nikamwambia weka mikono miwili hapo kwenye kifua mpamp kwa nguvu alifanya hilo zoezi kama mara 7 hivi yule mama akatoa sauti mmmmm na kupumua kama mtu aliechoka na akatikisa mguu. Mpaka gari linakuja alikuwa anapumua wakampeleka hospital.
Jamani tunatakiwa kujua hizi huduma za kwanza ndogo ndo ingawa mwisho wa siku Mungu ndio muamuzi.
Lemutuz kuishi peke yake plus stress za mtoto wake kumtukana ndo maana kila siku alikuwa akienda batani may be alikuwa anapunguza stress. Coz angekuwa na mtu wa kumjali alipo kuwa huko batani angeulizwa mbona umechelewa kurudi? Uko wapi? Na alipofika hata angedondoka mkewe ndo angekuwa wa kwanza kujua mme wake hospital ipi inamfaa kutokana na tatizo lake.
Hakuna kitu kibaya kukosa mtu wa karibu wa kukujari.
Apumzike kwa amani maana aliishi maisha ya kusimangwa kisa mtoto wa mchepuko, kila siku yeye ni kuji defend as if alituma maombi azaliwe. Rip lemutuz.
1: lemutuz anaishi peke yake wenda alipodondoka walinzi walimuona muda umeenda, wenda angekuwa na mke angemkimbiza hata mhimbili na sio mnazi mmoja.
2: ex bf wangu alinifundisha huduma ya kwanza pale mtu anapo dondoka gafla na akasititiza kila mtu anatakiwa kujua hii huduma.
Mtu akidindoka gafla unatakiwa kuweka mikono miwili pale kifuani kwenye moyo na kumshutua kwa nguvu kuamsha mapigo ya moyo. Sasa wale walinzi hata kabla ya kumpekeka hospital ilibidi wajaribu hiyo huduma wenda angezinduka.
Miaka iliyopita nilikuwa natokea mjini nikashuka kituo kimoja nikakuta mmama kadondoka watu wamejaa pale eti wameagiza gari wampeleke hospital.
Moyo ukaniambia sogea pale uone nn kinaendelea nikakuta mmama kalala flat kabisa nikakuta mtu anampepea nikamwambia weka mikono miwili hapo kwenye kifua mpamp kwa nguvu alifanya hilo zoezi kama mara 7 hivi yule mama akatoa sauti mmmmm na kupumua kama mtu aliechoka na akatikisa mguu. Mpaka gari linakuja alikuwa anapumua wakampeleka hospital.
Jamani tunatakiwa kujua hizi huduma za kwanza ndogo ndo ingawa mwisho wa siku Mungu ndio muamuzi.
Lemutuz kuishi peke yake plus stress za mtoto wake kumtukana ndo maana kila siku alikuwa akienda batani may be alikuwa anapunguza stress. Coz angekuwa na mtu wa kumjali alipo kuwa huko batani angeulizwa mbona umechelewa kurudi? Uko wapi? Na alipofika hata angedondoka mkewe ndo angekuwa wa kwanza kujua mme wake hospital ipi inamfaa kutokana na tatizo lake.
Hakuna kitu kibaya kukosa mtu wa karibu wa kukujari.
Apumzike kwa amani maana aliishi maisha ya kusimangwa kisa mtoto wa mchepuko, kila siku yeye ni kuji defend as if alituma maombi azaliwe. Rip lemutuz.