Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Status
Not open for further replies.
kwani wewe ni baunsa mzee acha uongo sema ulikwenda kula bata kama waliokuzunguka..hii ni nchi huru mzee kwanini udanganye kwa starehe yako mwenyewe

Hahahahahahahaha uknw wananchi wengi wamepata usumbufu baada ya kuona hii picha yangu uknw wamenibembeleza niitolee maelezo na wengi walikuwa wanatokwa machozi kuona kijana mdogo anamtusi kipenzi cha watanzania zaidi ya Million 43 uknw...

Uknw nilipokuwa marekani nilikuwa na rafiki yangu alikuwa anafanya kwenye shirika la kijasusi uknw...(CIAA) uknw aliniunganisha kwenye course ya kulinda mtu bila kutumia silaha uknw...kwa hiyo nilihitimu na walipotaka kuniajiri kule marekani nilikataa na nikarudi bongo uknw...walinililia sana....

Uknw siku ya After skul bush kuna msanii alikuwa anahofia usalama wake kwa hiyo alipo niambia nimpe company nilikubali maana nilikuwa najua lazima awe safe uknw..ndio maana hapo kwenye picha unaona naangalia kwa makini uknw adui yeyote akikatiza hapo namshughulikia ndani ya dakika 2 uknw....uknw masuperlemtindiz wengi wananipenda mimi maana wanajua muda weto wako sefu uknw...sitishwi na lepanywa road uknw...niliposikia kuhusu lepanywa road niliwatafuta wakakimbia uknw...
Uknw baada huyo mwanasheria kuweka picha hiyo nilipigiwa na kampuni kubwa nchini na kupewa deal kubwa uknw another day another dolla..
Uknw le panywa road wananionea wivu ndio maana kila saa wana nijadili uknw...nami nasema lepanywa road kufa for me..
hahahahahahaha!!!!!!!!!! i love it
King of all bongo social media
 
Yani anachekesha unaweza sema ni baunsa wa humo.Hivi na yeye alienda huko kutafuta nini?Na huo mshati wake sasa???
 

Le mutuz mkuu unafurahisha sana, We hisa zako kwenye hiyo Radio ni 0.19%, David Mosha 99.81%
 
Usitafute umaarufu kunuka kupitia ID yangu.

JF mtu anaheshimiwa kwa uwezo wa kujenga hoja na sio kukata viuno.

Umaarufu upi we kitimbakwiri?
Nani anakujua zaidi ya hapa jf tena kwa lugha zako chafu za mitaani.
 
Wewe Ruttashobolwa sio mzima kabisa!Akili zako unazijua mwenyewe maana umenifanya nicheke sana.....
 
Last edited by a moderator:
Unafahamu Msando kaja lini Mjini?? dude yuko town tangu 90's..
BTW Kuzaliwa Mjini dasalamu ni sifa?? Inaongeza nini katika Maisha?!
 
Unafahamu Msando kaja lini Mjini?? dude yuko town tangu 90's..
BTW Kuzaliwa Mjini dasalamu ni sifa?? Inaongeza nini katika Maisha?!
down town ipi?msifie kwa mingine!watoto wa mjini Tanganyika nzima tunajuana!....halafu jua watoto mjini hawajaja mjini bali wamezaliwa mjini
 
Kubwa jinga
 

Attachments

  • 1422728080347.jpg
    37.1 KB · Views: 321
- Hahahahahaahahhaa this is wasap U know hahahaha duh I am humbled na another thread kila siku average two threads Le Mutuz Nation thank you mamen umetisha U know!!

Le Mutuz

Umeandika mwenyewe hiyo habari na tunajua uandishi wako NYAMBAFUUUU
 
Uknw me mtu wa watu na Celebrity mkubwa





- Wiki hii nipo mbugani Serengeti kutalii katika mbuga zetu za wanyama badala ya kuwaachie wageni, so sijapata muda sana wa kuingia Social Media nimepitia kidogo tu hapa U know but leo namaliza and then nitaruka kurudi bongo then we can talk kama kawaida!!

Le Mutuz
 

The way ulivyowateka wabongo, wakikukosa mtandaoni wanakuchokoza kwa mada. I also accept the fact that you are now a celebrity!
 
Ikiwa thread ya kumsifia anakuja fasta sana
Huyu mtu anapenda sifa sijawahi ona

Hata mimi nashangaa watu wakiona thread za Le Mutuz wanakuja mbio, hii inainesha kukubalika kwa jamaa au?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…