Taarifa za uhalifu kwa vyombo vya dola mara nyingi zinatoka kwa raia wema. Napenda nigusie kitu kimoja, na kama kweli vyombo vyetu vya dola vinafanya kazi kwa weledi, basi walifuatilie hili swala kwa umakini.
Kuna mtu anayejiita Billionaire hapa mjini, na aliyekuwa mgombea Ubunge kule moshi kupitia CCM inabidi amulikwe vizuri. Kila mwezi, akisaidiwa na wapambe wake, mmoja anayejiita King of All Social Networks, LEMUTUZ uenda kule bandarini (kwenye meli) na kukaa karibia wiki nzima wakitoa Mafuta na kuyajaza kwenye malori . Mbaya zaidi LEMUTUZ anapiga picha na kuzitundika kwenye mitandao akijidai anakumbuka enzi zake za Ubaharia, hata kudiriki kuringa mitaani jinsi wanavyoiba mafuta.
Serikali iwafuatilie hawa self proclaimed mabillionaires. Je hizi mafuta wanazilipia kodi, na je wanazipata kwa mbinu gani? Sitaki kuongea mengi. Wananchi au raia wema wenye taarifa zaidi watazimwaga ummu jukwaani