Hahahahah watanzania bwana!
Le mutuz haters are mostly from men and a few chicks who just hate.
Wanaume ni vile viuno anavyoshika Le Mutuz na ma bebez inawakula moyo na mnatamani kufa, sikia huyu jamaa ni wa kishua hata mseme nini huo ndo ukweli.
Or let me put it this way, he still is this rich kid that grew up in a well off family of once a Prime Minister of United Republic of Tanzania.
Haya, na ame-travel na Diplomatic Passport mpaka ukubwani, Mpo hapo?
Watu wengi anaouza nao sura ni watu either kakua nao uzunguni au alisoma nao ushuani. Come on guys his dad was a Prime minister, It Was a big deal!
Haya, kuhusu kubeba Box, Me Nilidhani watu wenye akili timamu wangemsifia kwamba jamaa kuwa na mali zote home na bata la baba Waziri Mkuu he still left all that and went to live independently and hard working life in the US na kula kwa jasho lake kama mwanaume, lakini kwa sababu Watanzania tumezoea ufisadi na wengi tumecrame mtoto wa Waziri hawezi fanya kazi kama zile basi mnamtukana!
Mimi ndio sipendi baadhi ya sifa anazofanya especially na hawa bongo celebrities, simply because of the status of his family and his Dad, to me he can do much better ila that's just my opinion cause mwisho wa siku mtu hachaguliwi maisha.
Le mutuz haters are mostly from men and a few chicks who just hate.
Wanaume ni vile viuno anavyoshika Le Mutuz na ma bebez inawakula moyo na mnatamani kufa, sikia huyu jamaa ni wa kishua hata mseme nini huo ndo ukweli.
Or let me put it this way, he still is this rich kid that grew up in a well off family of once a Prime Minister of United Republic of Tanzania.
Haya, na ame-travel na Diplomatic Passport mpaka ukubwani, Mpo hapo?
Watu wengi anaouza nao sura ni watu either kakua nao uzunguni au alisoma nao ushuani. Come on guys his dad was a Prime minister, It Was a big deal!
Haya, kuhusu kubeba Box, Me Nilidhani watu wenye akili timamu wangemsifia kwamba jamaa kuwa na mali zote home na bata la baba Waziri Mkuu he still left all that and went to live independently and hard working life in the US na kula kwa jasho lake kama mwanaume, lakini kwa sababu Watanzania tumezoea ufisadi na wengi tumecrame mtoto wa Waziri hawezi fanya kazi kama zile basi mnamtukana!
Mimi ndio sipendi baadhi ya sifa anazofanya especially na hawa bongo celebrities, simply because of the status of his family and his Dad, to me he can do much better ila that's just my opinion cause mwisho wa siku mtu hachaguliwi maisha.
