Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
- Well nipo Vacation Arusha at Nduruma Farm, ninapumzika na kupanda farasi tu mpaka baada ya New Year ndio nitarudi bongo then we can square with this never ending kwikwizz U know unamchukia mtu ambaye humpunguzii anything, ukisema ninamchukia ndio maana hawezi kupata pesa I can understand that, lakini unamchukia mtu ana Degree 3 wewe huna hata moja, Mutu anaishi downtown bongo wewe unaishi Shimo la Udongo U know sasa hata viwanja anavyokwenda huwezi, halafu unasema namchukia Le Big Show saa hizi nipo Ariusha nakula batazzz wewe unalia lia mitandaoni hahahahahaha sema unajichukia mwenyewe, wewer huwezi kunichukia cause hatufanani mimi nina maakili mengi sana wewe huna so back off U know hahahahahaha
Le Mutuz Arusha One!!
Umesema unaishi down town bongo na jamaa anaishi Shimo la udongo! Kwa hiyo kwa vile anaishi shimo la udongo unamdharau? Hivi kama unamdharau anayeishi Shimo la Udongo Kurasini Dar jee yule anayeishi Mvumi misheni, Mvumi Makuru kule Mtera utamdharau au kumtusi kabisa?
Huko ndio kutojielewa na pengine Mzee Tingatinga naye aliwadharau wale wa Mvumi kwa vile ana nyumba Downtown bongo nao wakamshikisha adabu kuwa Waziri mkuu mstaafu wa kwanza kupigwa chini kura ya maoni ndani ya jimbo.
Nasikia nawe unampango wa kwenda kupimana ubavu na Kibajaji! Nenda Mvumi uwaambie nyumba zenu zinanuka ma.vi ya ng'ombe sio kama za downtown bongo kisha utaona.
