Le Mutuz hii sasa imezidi

Le Mutuz hii sasa imezidi


- Wewe ni mbwa na ndio tabia za mbwa kama ulivyo maana binadam mzima mwenye akili timamu huwezi kutumia ID ya mbwa lazima tabia zako ni za mbwa au nasema uongo? hahahahahahahahahahahaha

Le Mutuz

Tayariiii umepanic!
 
- Mfike mahali mkubaliane kuhusu umri wangu maana kila siku mnaubadilisha mara 50, mara 54, mara 55, mara 60 mara 70 leo wewe 59 please si mko pamoja huko manshindwa nini kukubaliana wewe hata aliyeishi na mimi naye anashindwa kusema ukweli anasema nina miaka 70 hahahahahahahahaha

- Please kubalianeni for once please!!

Le Mutuz
ahahahaha ila wewe kiboko we ulitakiwa kuwa komandoo kule jeshini ,mishale yote hiii unaipangua huku unacheka ahahahaha angekuwa mtoto wa mama angeshakunywa sumu we ni noma
 
Pengine mm simjui huwa namsikia sana huyu bonge.. ni nani? Hapa tanzania? Kwa ufupi tu.
 
ahahahaha ila wewe kiboko we ulitakiwa kuwa komandoo kule jeshini ,mishale yote hiii unaipangua huku unacheka ahahahaha angekuwa mtoto wa mama angeshakunywa sumu we ni noma




- Yaani mtu una mtoto mzuri kama huyu unywe sumu ya nini huyu akikuchekea kidogo tu unatulia na stress zote kwishney chezeya Le Msomalizzz uliza watu nikiingia naye wanavyojikanyaga hahahahahaha U know, mwambie bibie aweke yake uone kama haikuwa majangazzz hapa hahahahahahaha

- Na huwezi kunywa sumu kwa sababu ya uongo wa kitoto kama ninaouona hapa, kwangu ni mfa maji amefika mwisho finally ameamini kwamba sina shida naye sasa anajaribu the last shot nimipigie simu nianze kumuomba na kumbembeleza hahahahaha not me labda niwe nimekufa hahahaha

Le Mutuz
 


- Yaani mtu una mtoto mzuri kama huyu unywe sumu ya nini huyu akikuchekea kidogo tu unatulia na stress zote kwishney chezeya Le Msomalizzz uliza watu nikiingia naye wanavyojikanyaga hahahahahaha U know, mwambie bibie aweke yake uone kama haikuwa majangazzz hapa hahahahahahaha

Le Mutuz
kula bata mkuu nakuaminia kila mtu na maisha yake mbona jk mwenyewe anakaa nyumba ya kupanga pale magogoni mwezi wa kumi ataenda msoga na wewe muda ukifika utaenda huko kinyerezi kula bata maisha yenyewe mafupi haya
 


- Yaani mtu una mtoto mzuri kama huyu unywe sumu ya nini huyu akikuchekea kidogo tu unatulia na stress zote kwishney chezeya Le Msomalizzz uliza watu nikiingia naye wanavyojikanyaga hahahahahaha U know, mwambie bibie aweke yake uone kama haikuwa majangazzz hapa hahahahahahaha

- Na huwezi kunywa sumu kwa sababu ya uongo wa kitoto kama ninaouona hapa, kwangu ni mfa maji amefika mwisho finally ameamini kwamba sina shida naye sasa anajaribu the last shot nimipigie simu nianze kumuomba na kumbembeleza hahahahaha not me labda niwe nimekufa hahahaha

Le Mutuz

I swear huyo the so called Msomali kapotea njia trust me. ..We ni janga
 
I'll be in town next month ma nigga.

I'll definitely holla at you and see what's up

Nah'mean....

- You gara stopby at my office maaan at downtown U know and I just live 5 minutes from here downtown U know hahahaha hala maana stil the same number +255 717 618 997

Le Mutuz
 
kula bata mkuu nakuaminia kila mtu na maisha yake mbona jk mwenyewe anakaa nyumba ya kupanga pale magogoni mwezi wa kumi ataenda msoga na wewe muda ukifika utaenda huko kinyerezi kula bata maisha yenyewe mafupi haya

- Well, kwa jinsi ulivyoanza na ulivyobadilika ina maana umenielewa kwamba nina deal na kelele za mlango, saafi sana sasa imagine ningekimbia si ungeamini kwamba siko sawa sawa, majuzi nilikuwa nimeitwa EFM Radio for Interview kufika pale nikanasa kwenye lift calmly nikampigia simu host wangu nikamwambia nimekwama kwenye lift, akataka kuanza kupiga makelele nikamuuliza why mimi niliyekwama sipigi kelele wewe unapiga kelele za nini tafuta msaada nitoke humu wacha kelele, unajua yule mtu mpaka leo haamini kila anaponiona ana heshima kuliko zamani,

- Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua, in my life kama kuna kosa kubwa niliowahi kulifanya lilikuwa ni lile la kutoka Ulaya na kuja kuishi kwa Baba yangu, that was for the first time in my life nilikuwa sina la kujitetea kwa kawaida mimi sinywi pombe wala sigara my brain is sober and clean, siku zote huwa nahikikisha nina justifications ya everything I do isipokuwa kwa mara ya kwanza nikawa sina justifications for that it pained me a lot kwamba after 30 years of living on my own bila kutegemea msaada wa mtu, nikarudi kufikia pale, ilikuwa inaniuma mpaka nikawa ninaondoka asubuhi sirudi mpaka usiku wa manane, ila namshukuru sana Mungu kwa kunipa kila kitu nilichonacho now!!

Le Mutuz
 
Le Mutuz mfanya mazafantaz wakose raha nini tena? Naona thread inazidi kusogea tena umefanyaje tena?...update kidogo basi.
 
Yereuwiiii


Watu wabaya jamani kwa jinsi anavyotisha bado wanafanya yao? ndio maana anapenda kampani za akina lulu kumbe....

Kiranga njoo uone mambo ya New Yorker mwenzio

Tafadhali tafadhali. Currently I am in my winter palace, escape from NY style.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom