William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Duu Lemutuz ana roho na ngozi ngumu sana aiseee
Na kweli ni fun sikupatii picha ukiwa kwenye yale mambo unayotendewa na watoto Wa mjini....
- Lakini umemuona Le Msomaliiiizzzz hahahaha U know
Le Mutuz
ahahahaha ila wewe kiboko we ulitakiwa kuwa komandoo kule jeshini ,mishale yote hiii unaipangua huku unacheka ahahahaha angekuwa mtoto wa mama angeshakunywa sumu we ni noma- Mfike mahali mkubaliane kuhusu umri wangu maana kila siku mnaubadilisha mara 50, mara 54, mara 55, mara 60 mara 70 leo wewe 59 please si mko pamoja huko manshindwa nini kukubaliana wewe hata aliyeishi na mimi naye anashindwa kusema ukweli anasema nina miaka 70 hahahahahahahahaha
- Please kubalianeni for once please!!
Le Mutuz
U killin' it ma nigga
ahahahaha ila wewe kiboko we ulitakiwa kuwa komandoo kule jeshini ,mishale yote hiii unaipangua huku unacheka ahahahaha angekuwa mtoto wa mama angeshakunywa sumu we ni noma
- she is gara a sister maaana when are coming baack to bongo
Le Mutuz
kula bata mkuu nakuaminia kila mtu na maisha yake mbona jk mwenyewe anakaa nyumba ya kupanga pale magogoni mwezi wa kumi ataenda msoga na wewe muda ukifika utaenda huko kinyerezi kula bata maisha yenyewe mafupi haya
- Yaani mtu una mtoto mzuri kama huyu unywe sumu ya nini huyu akikuchekea kidogo tu unatulia na stress zote kwishney chezeya Le Msomalizzz uliza watu nikiingia naye wanavyojikanyaga hahahahahaha U know, mwambie bibie aweke yake uone kama haikuwa majangazzz hapa hahahahahahaha
- Na huwezi kunywa sumu kwa sababu ya uongo wa kitoto kama ninaouona hapa, kwangu ni mfa maji amefika mwisho finally ameamini kwamba sina shida naye sasa anajaribu the last shot nimipigie simu nianze kumuomba na kumbembeleza hahahahaha not me labda niwe nimekufa hahahaha
Le Mutuz
I'll be in town next month ma nigga.
I'll definitely holla at you and see what's up
Nah'mean....
kula bata mkuu nakuaminia kila mtu na maisha yake mbona jk mwenyewe anakaa nyumba ya kupanga pale magogoni mwezi wa kumi ataenda msoga na wewe muda ukifika utaenda huko kinyerezi kula bata maisha yenyewe mafupi haya
- Let it be on my blood hahaha
- Le Mutuz
Yereuwiiii
Watu wabaya jamani kwa jinsi anavyotisha bado wanafanya yao? ndio maana anapenda kampani za akina lulu kumbe....
Kiranga njoo uone mambo ya New Yorker mwenzio