Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Kweli kabisa uko sahihi
 
Hana mali huyo.Nyumba ya pinto,gari ya pinto.Mali aliyonayo ni kiwanja alichopewa na Baba yake.
Dah besti INASIKITISHA sana. Yani unaishi kijinga jinga uwongo uwongo mtu ana niaka 60 huko unaishi kitoto. Ndo maana mke wa Davis Mosha alimuonya mumewe amteme kabisa. Hakumpenda le mutuz.
 
Aisee! Sikuwahi kusoma hii simulizi ya marehemu. Ni juzi hapa nimeona link ila nikawa bado reluctant kusoma. Sasa nimeanza kusoma jana na muda huu nimeimaliza. Kongole marehemu. Nimejifunza mengi. Siku zote nimekuheshimu pamoja na mengi yaliyoandikwa na kuyasoma juu yako. RIP
 

Ee banae Le mutuz ni mwanaume,
Bora uwe fukara ila amani ya moyoni na uhuru viwepo.

Ila shetani akiamua acha tu,
Yaani alimkataa dem baadae akamkubali na kumuoa!

Aiseeh namna alivyoondoka nimeipenda na somo nimelipata walitaka wamshangaze ajabu ye ndo kawashangaza
Na huo ushauri wa OGOPA MWANAMKE MWENYE TAMAA YA MALI. Wanawake wa leo hii huwezi watenganisha na hilo.
Jambo jingine wanawake kwa sasa sio [emoji631] tu duniani kote kwa sasa wanasikilizwa mno kuliko wanaume!
 
Labda Mange alitumwa na aliyekuwa mama yake wa kambo yaani dada wa Le Mutuz kutoka kwa mama mwingine, ile pia wa kulaumiwa ni mzee yeye amechangia sana mataizo kwenye familia yake kwa kuendekeza mambo ya wanawake, nakumbuka kuna mama mmoja ambaye nae alikuwa mzito kwa wakti fulani alisema hadharani huko bungeni kuwa nimeshaachana nae aendelee tu na shughuli zake yaani yule mama aliacha mahusianoi na mzee baada ya kugudua mzee keshaanza kupanda milima ya upareni, mzee nae ameupiga mwingi sana enzi zake.
 
Ndo hiyo mansion le mbebez?

Cc. William .J. Malecela
I Lemutuz la mubebez amezikwa na watu wengi Sana Hadi kuagwa ktk ukumbi wa kiserekali wa karimjee na huku kwao mvumi umati na viongoz na wasanii wakubwa wamehudhuria msiba wake ,

Sasa wew ukifa utaagwa wapi mwdzako kaagwa karimjee sijui utaagawa wapi

Nimeambia hvyo kwa vile ulisema kipind kile kuwa huyu bwan akifa atakoza watu wakumzika

Case close ,sorry lemut rip
 
Kumbe hakuwa mvivu kuandika angetoa kitabu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…